MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Kesho nitazi-upload brother.
Mungu asaidie tumtoe porto...halafu maajabu yatokee man untd amtoe bacerona...huyu kiumbe sio mtu mzur hata kidogo khaaaaMan, sina neno la kuongeza kwa huyu jamaa.
Mungu asaidie tumtoe porto...halafu maajabu yatokee man untd amtoe bacerona...huyu kiumbe sio mtu mzur hata kidogo khaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahaha!
Memories brother, memories, Dah!
It really hurts.


Kweli salah anachowaza ni kiatu sio timu. Kuna chance moja jana timu imecounter fresh upande wa kushoto kuna wenzake kama 3 na beki 1 akaamua kwenda kulia ampige chenga beki mwingine ili afunge. Asiwe mchoyo atulie tu magoli yatakuja. Na aangalie video zake za last year aangalie alivyobaki na kipa alifungaje maana now anampa kipa kila mpiraHa ha ha wanaangalia recent form ya mchezaji husika kaka plus hizo rating nadhani ni according na mech inayoongelewa.
Kiatu Cha dhahabu kwa form ya salah hivi karibuni mmmhh ngoja niweke akiba ya maneno...kwenye hili nachagua kusimama na MANE.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sahihi kwa hii soccer anayocheza Mane sioni wa kumzuia kukimbizana na Kun ufangaji bora...Ha ha ha wanaangalia recent form ya mchezaji husika kaka plus hizo rating nadhani ni according na mech inayoongelewa.
Kiatu Cha dhahabu kwa form ya salah hivi karibuni mmmhh ngoja niweke akiba ya maneno...kwenye hili nachagua kusimama na MANE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu zote zenye kubeba makombe kama yote hua wanacheza kwa ushirikiano sana, sasa Salah yeye siku hizi akipewa pasi lazima ataka machenga mengi mengi na ni kama mabeki washajua huyu anapiga na kushoto hivyo wanambana mno kiasi amekua hivi alivyo...Kweli salah anachowaza ni kiatu sio timu. Kuna chance moja jana timu imecounter fresh upande wa kushoto kuna wenzake kama 3 na beki 1 akaamua kwenda kulia ampige chenga beki mwingine ili afunge. Asiwe mchoyo atulie tu magoli yatakuja. Na aangalie video zake za last year aangalie alivyobaki na kipa alifungaje maana now anampa kipa kila mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
they were great lads no wonder wen Wenger came wt 40+1 Surez only listend to Steve...
This Messi is even getting better with age man...MESSI
Hands down to this Alien.
He’s not human, i’m conviced.
Lile boko alilotoa van dyk na alison angelitoa HENDERSON SIJUI KUNGELIPUKAJE HUKU
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile boko actually 'assist' ni la Milner..Lile boko alilotoa van dyk na alison angelitoa HENDERSON SIJUI KUNGELIPUKAJE HUKU
Sent using Jamii Forums mobile app