Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

My Vice CAPTAIN.

IMG_1552839222.597758.jpg
 
End of day big three point an back on top of the league japo enemy ana game mkononi we don't care as long as tumeshinda yetu presha kwake Sasa....

But an I repeat but, SALAH anahitaji kitu Kati ya mechi moja apumzike au atokee bench hata mechi mbili ili angalau aungalie mchezo kwa nje itamsaidia,na anatakiwa kujua kuwa aachane na kutaka kuwaprove watu wrong kwa kulazimisha magoli ambayo kwa wakat huu hayawezekani.inabid awe mtu wa kutoa assist na ku create chances zaidi kwa mwenzie/wenzie wafunge kwani uwezo bado anao wa kukaa na mabeki wawili inshu Ni anapolazimisha kuingia na kutafuta goli...bila yeye Leo tungekuwa na goli zaidi ya tatu...

Tukutane baada ya international break...#YNWA#

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom