Acha kutafuta kujifariji na kichapo cha leoPone pone yenu ni EPL tu huko kwingine pumzi imekata. UEFA mshatoka hamna nafasi tena. Sasa anfalieni yasije yakawa kama yale ya kipindi kile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anorld si keshapona?. Milner hana pace, Rashford atamsumbua sana pengine hata kusababisha ale umemeKlopp kashamuweka milner RB huko na Hendo kaanza
Kweli Adolf bado anaishi
Sent using Jamii Forums mobile app
it's not fair mkuu. kwa hili I'll beg to differ.
am happy with this...
Hapana Milner yuko bench katikati anaanza Anderson, Gini na Fabinho nadhani team nzuri kabisa Keita plan B
kweli yuko kama fullback samahani, ila inawezekana kwa kuwa Arnold ndio anarudi katika game baada ya muda nadhani Milner atacheza vizuri maana unajuwa kikubwa leo tusipoteze wote tunajuwa tushinde ila draw we will take it muhimu tuwe juu.Umeona kikosi lakini?
Martial huwa namuogopa sana. But Rashford kwa Milner mmhNo Martial and Lingard for United and my manager deploys Milner at RB
Hope his cowardliness pays off today.
Game SAA ngapi mkuufinger crossed, we come out with good results..
otherwise, questions about Milner's inclusion in the team today will need considerable answers.
Huu ni utani.