Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Imefika mahala liverpool hawawezi hata kufanya rotation ya baadhi ya wachezaji ....wamechoka pia wale..droo zikizidi kinachofuata ni kufungwa
rotation ipi mkuu??

yani Firmino na Salah wakae nje halafu Origi na Sturridge ndo waanze?? kumbuka hii ni lala salama ukipoteza points round hii ndo zimepotea hivyo hakuna marudiano tena.

Liverpool kwa sasa hakuna timu ya kufanya rotation labda wale waliomajeruhi wakirudi unaweza ukasema kitu.

ni Shaqiri pekee anaeweza akatokea nje na akakupa kitu kwa Liverpool ya sasa.
 
Kweli kabisa, mi nafikiri ni ugumu wa game ndio unafanya watu wawaze rotation, hii ndio lala salama makocha lazima waumize akili kupata point 3
 
mafanikio yanapimwa mwisho wa msimu broo huwezi ukajitapa sasa hivi eti mmepata mafanikio, yapi hayo ya kuongoza ligi kwa tofauti ya point saba hadi point tatu ndio mafanikio hayo?
 
Sarah frimino mane kila game dk 90 uefa fa CArabao fa league safi sana kwa. Matokeo haya
 
Mlikua mnataka Keita na mpemba Fabinho (hakuna mbrazil wa vile) waanze katikati Klopp kawasikia na kawaanzisha lakini bado mnateseka. Enyi mashabiki wa majogoo ni kipi bora kwenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kauli sibadili hata Siku moja muhimu inukuu kama nilivyoisema!

Yani bado nasimamia kauli yangu "Iwapo tutamalizana na Man United na Everton tukiwa tunaongoza ligi hata kwa Point 1 basi sisi ni Mabingwa wa EPL 2018/19"
Mkuu inaonesha unaihofia sana mechi na Man United na Everton kuliko hata yenu na Chelsea na Arsenal, kwanini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mafanikio yanapimwa mwisho wa msimu broo huwezi ukajitapa sasa hivi eti mmepata mafanikio, yapi hayo ya kuongoza ligi kwa tofauti ya point saba hadi point tatu ndio mafanikio hayo?
Mimi sio shabiki wa Liverpool broh...
Ili uchukue kombe la ligi kuu ya Uingereza ni lazima umalize michezo yako ukiwa katika nafasi ya kwanza,Liverpool yupo nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa Ligi kuu ya Uingereza, kwahiyo mpaka sasa wako kwenye nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa...
Kama malengo yao ni kuchukua ubingwa+kushiriki UEFA champions league,basi mpaka sasa wako kwenye muelekeo sahihi,kwangu mimi hayo ni mafanikio..!
Wangekua wako nafasi ya sita kwenye Ligi,ina maana hadi sasa wangekuwa wapo nje ya malengo yao..!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…