Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ifikie wakati wakuu 'tukubali kutokubaliana' (agree to disagree). Tuwe gentlemen, kila mtu ana maoni/opinions zake kutokana na observations zake.

Hapo kwenye observations kila mtu anajua njia anazotumia ku observe na ku judge mambo fulani fulani. Hatuwezi kuwa wote sawa katika hili. Kila mtu ana njia zake hata kama tunaweza kuja na wazo moja ila sio katika kila jambo tutakubaliana.

Kikubwa ni kujua tu kuwa tunatofautiana na kila mtu ana opinions zake. Kuwa gentleman ni kukubali jambo hilo (we are different). Kama mtu ametoa maoni ambayo unaona huyakubali hamna shida 'kubali tu kutokubaliana nae' maisha yasonge.

Inapofikia hatua ya kuanza kuitana mara Liverpool halisi na majina mengine sio dalili nzuri katika mkusanyiko wetu huu ambao najua wote hapa ni watu wazima na waelewa sana.

Hatuwezi kuwa na makundi kati yetu wenyewe, ni dalili za kushindwa hizo. Imagine sisi kwa sisi tunavutana mashati na je hao wa Manure, Ass na Chelshit nao waje watuvuruge si patakua hapatoshi.

Hata kama kwa maoni yako mchezaji au kocha anakosea au humtaki na ni jambo lililo nje ya uwezo wako hakuna haja ya kupanic na kuanza kulumbana wenyewe na kuitana majina na kuhamishana team.

The best you can do is wish for the best (for LFC). Sometimes we see what we don't wish/want to see but we should keep calm because they are not within our capacity.

YNWA
asante kwa constructive views

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The future is locked in for Liverpool

IMG_4936.JPG




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
According to reliable reports za week hii, it seems kutakuwa na Massive clear-out in the summer

1. Mignolet
2. Moreno (free)
3.Matip (i'd like him to stay)
4.Clyne
5.Lallana
6.Sturridge
7.Origi (i'd like him to stay)
8.Markovic (could leave this january)
 
😀😀😀samahani mkuu mimi dullyjr ni shabiki nguli wa arsenal,gunners, so usinijumuishe na upande mwingine please,kama wewe ni fekelo ni wewe mimi hapa nipo kutokana na upenzi wangu wa soka tu ndio maana popote palipo hai utanikuta sio kwakuwa unaniona mara kwa mara ukajua na mimi ni liverpool......waulize wenzio wote watakuambia vema,na HALISI ni wale wenye mapenzi ya kweli ya timu yao maana wengine wasaka ushindi tu ila timu ikipata matokeo hasi wanajichimbia machokoroni mfano rafiki yangu SteveMollel toka timu itolewe bikra uingiaji wake humu wa mashaka lakini kabla ya hapo alikuwa mpiga kelele nguli hapa na kule ktk viunga vya gunnerz...wengine wanajikaza kisabuni lakini wanaishia kutukana wachezaji na kocha wakisahau toka dunia iumbwe hakuna timu isiyofungwa fekelo hao wanaamini timu ikifungwa ni uzembe wa kocha au wachezaji hawaamini katika ubora wa wapinzani,kuzidiwa kwa mbinu na mengineyo ya kimpira....
HAWA WANAJIJUA HAKUNA HAJA YA KUWATAJA MAJINA.

NUKTA
Dah mwanangu eeenh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
According to reliable reports za week hii, it seems kutakuwa na Massive clear-out in the summer

1. Mignolet
2. Moreno (free)
3.Matip (i'd like him to stay)
4.Clyne
5.Lallana
6.Sturridge
7.Origi (i'd like him to stay)
8.Markovic (could leave this january)

Kuna article niliona Marko ataondoka summer upepo umebadilika tena?

Huwa namuonea huruma sana
 
Kuna article niliona Marko ataondoka summer upepo umebadilika tena?

Huwa namuonea huruma sana

Club ikijitokeza hii january anaweza ondoka, need to leave for his own benefit

The way Klopp anavyom-treat Lazar, ingekuwa ni Mourinho or Pep medias zingewaandama sana, but its Klopp the media darling, plus Echo arent fans of Lazar

feel for him man
 
There's no such thing dude

dont waste your time
Inawezekana. www.liverpoolecho.co.uk hapo kuna ratiba ya exclusive interview kati ya waandishi/ wachambuzi wetu nguli(Sam Carrol na wenziye).
Wanawaomba wasomaji wao kutoa maoni, maswali,rumours,story digest,analysis etc kuhusu timu nao wanamuuliza Klop.Kwa hiyo timu hiyo ya waandishi includingJames Pearce,Ian Doyle na Theo Squires wanakaribisha hayo hapo juu.
Lugha ni Kiingereza.Uwe na anuani ya barua pepe na ujiunge kupata taarifa updates za team yako.
#malafyale,#challiifrancisco et al


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana. www.liverpoolecho.co.uk hapo kuna ratiba ya exclusive interview kati ya waandishi/ wachambuzi wetu nguli(Sam Carrol na wenziye).
Wanawaomba wasomaji wao kutoa maoni, maswali,rumours,story digest,analysis etc kuhusu timu nao wanamuuliza Klop.Kwa hiyo timu hiyo ya waandishi includingJames Pearce,Ian Doyle na Theo Squires wanakaribisha hayo hapo juu.
Lugha ni Kiingereza.Uwe na anuani ya barua pepe na ujiunge kupata taarifa updates za team yako.
#malafyale,#challiifrancisco et al


Sent using Jamii Forums mobile app

There's no such thing buddy

simple, really.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom