Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Harry Kane majeruh.

Ni wakati muhafaka wa King Salah kutetea Golden boot yake, katika mechi hizi 5 mbele yetu ambazo sio tight sana, anatakiwa atoke na goli kuanzia 6.


Hapa atakuwa establish gap kubwa dhidi ya Kane.
 
Hili suala ndilo linalonishangazaga sana mkuu,
 
Harry Kane majeruh.

Ni wakati muhafaka wa King Salah kutetea Golden boot yake, katika mechi hizi 5 mbele yetu ambazo sio tight sana, anatakiwa atoke na goli kuanzia 6.


Hapa atakuwa establish gap kubwa dhidi ya Kane.
Auba atamuwashia moto ambao hatosahau
 
Acha kujipendekeza kwa wanaume wenzio. Hujulikani hata timu unayoshabikia ni ipi, umekomaa kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio tena umevaa nusu uchi huku unalalakima humpendi.

Nenda unakopenda.
acha umama mzee unafikir matusi ni sifa ama acha ulimbukeni mzee hao kwani wewe ndo wa kwanza kushabikia liverpool wakati mwingine ustaarbu ni jambo jema kama unahisi unaumia chomoa usiniletee shobo dundo zako mzee,by the way mm ni shetani mwekundu hapa mbaya wenu ninayewabomoa na kuwajenga.
 
Harry Kane majeruh.

Ni wakati muhafaka wa King Salah kutetea Golden boot yake, katika mechi hizi 5 mbele yetu ambazo sio tight sana, anatakiwa atoke na goli kuanzia 6.


Hapa atakuwa establish gap kubwa dhidi ya Kane.

Umemsahau Auba? Never underestimate Auba bro he is more complete striker than anyone in EPL including Harry Kane.

I guess he will be a top scorer this season unless Mo Salah proved me wrong
 
Umemsahau Auba? Never underestimate Auba bro he is more complete striker than anyone in EPL including Harry Kane.

I guess he will be a top scorer this season unless Mo Salah proved me wrong
Auba is a clinical finisher ... The best in the world

But Liverpool has the machinery to support Salah score more
 
Point after point after point. I love this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"He will be out of pace early"
Milner uyo? Ivi humuonagi anavyokimbia pale kati kma mwendawazimu au? Yule babu anapiga kazi na ataweza kukava the RB position bila utata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…