Relax sio relux mkuuUshabiki uzoee tu dont take it too personal utakutesa sana,.
Ikiwa tu wewe mwenyewe unajikosea sembuse wa pembeni yako?
Just relux & enjoy football
Sisi Liverpool fake vs Wao Liverpool Halisi sote ni Liverpoolfc tu haitabadili ukweli. Na kwa ujumla may kama ubingwa tutashangilia sote hautawapata ninyi halisi na kutubagua sisi fake & vice verse.
Ila battle lazima iwepo kikubwa kutokoseana Heshima over.
Just relux & enjoy football
The bad issue is to force your perspective(s) to be the final solution.
Just relux & enjoy football
we are reds...
we breath red...
we stand red...
More than Family.
Liverpool fake
Here we go Hendo & Lovren not our level at all especially 1st 11..
Hendo ana bahati jmn sababu ya nidhamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Klopp ni moja ya makocha wazuri sana ila huweza mfananisha na pep interm of success tu.
profile ya pep ni mbali sana na klopp.Pep amechukua makombe karibu yote aliyoshiriki.
pep sio Mungu mtu kama wengi mfikirivyo yule jamaa anajua mpira ni ku-win cups ndipo utawachwa watu midomoni mwao wakikuzungumza.
Angali kocha kama Sarri mpira mzuri mafanikio hamna lkn anaweza kuibuka mtu akakuambia Sarri ni mzuri kuliko Unai ambae unai ana uefa europe 3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hendo is very humble, very cool guy hana makuu at all a real professional n so easy to work with...Ushabiki uzoee tu dont take it too personal utakutesa sana,.
Ikiwa tu wewe mwenyewe unajikosea sembuse wa pembeni yako?
Just relux & enjoy football
Sisi Liverpool fake vs Wao Liverpool Halisi sote ni Liverpoolfc tu haitabadili ukweli. Na kwa ujumla may kama ubingwa tutashangilia sote hautawapata ninyi halisi na kutubagua sisi fake & vice verse.
Ila battle lazima iwepo kikubwa kutokoseana Heshima over.
Just relux & enjoy football
The bad issue is to force your perspective(s) to be the final solution.
Just relux & enjoy football
we are reds...
we breath red...
we stand red...
More than Family.
Liverpool fake
Here we go Hendo & Lovren not our level at all especially 1st 11..
Hendo ana bahati jmn sababu ya nidhamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo sahihi, sisi tudili na ya kwetu haya ya City tuwaachie wenyewe mechi nyingi mno hivyo th two horse race just gettin startedKwa hali ilivyo naona City akiendeleza muziki wake wa ushindi kwa kasi sana.
Kitu muhimu ni sisi kudili na ratiba yetu, tukomae kwa kuendelea kushinda, hasa ukiangalia pia ratiba yetu siyo mbaya sana.
numbers dont lie trophy wise Pep s th King, Klopp has some catching to doHii ndiyo points yetu hasa!
Klopp ni good coach, but Pep ni best coach.
Tunachosema Pep ni Kocha bora kwa sasa kuliko kocha yoyote yule duniani na si kwa Klopp tu.
Hii ni kutokana na Mafanikio yake aliyoyapata kwenye timu alizofunfisha.
Hii habari za MUNGU MTU ni mipasho tu ya kike kutaka kuwaaminisha watu kuwa Klopp ni bora kuliko Pep kisa tu tunaongoza Ligi.
#YNWA
Mkuu upo sahihi, sisi tudili na ya kwetu haya ya City tuwaachie wenyewe mechi nyingi mno hivyo th two horse race just gettin started
next two games tupo nyumbani lets get back to proper winning ways.
Sahihi, 4 points siyo nyingi kabisa, lakini tukicheza na mentality ya kudili na mambo yetu utashangaa points zinaongezeka.
Kitu muhimu ni kuhakikisha tunashinda game zote kabla ya kukutana na Man Utd, maana hiyo game ya Man Utd kuna hatihati ya kupunguzwa points.
Sahihi, 4 points siyo nyingi kabisa, lakini tukicheza na mentality ya kudili na mambo yetu utashangaa points zinaongezeka.
Kitu muhimu ni kuhakikisha tunashinda game zote kabla ya kukutana na Man Utd, maana hiyo game ya Man Utd kuna hatihati ya kupunguzwa points.
ni bora kuliko wote duniani?ok
naomba nielimishe amempiku nini zidane? nimeuliza tu naomba nijibiwe kwa fact.
Mtoto ambaye amezaliwa akakuta historia kwamba baba alikuwa na gari zamani haisaidii. Mtoto ataonekana mjinga akianza kujivunia historia wakati yeye tangu azaliwe hujawahi kumwona baba hata akiendesha hata baiskeliHajawah kubeba makombe ya ligi 18, sisi tunayo tayar.
Hajawah kubeba UEFA 5, sisi tunazo tayar kabatini. This is Liverpool.
Mkuu upo sahihi, sisi tudili na ya kwetu haya ya City tuwaachie wenyewe mechi nyingi mno hivyo th two horse race just gettin started
next two games tupo nyumbani lets get back to proper winning ways.
Msimamo wa Ligi baada Ya Ole Gunnar kuja UnitedView attachment 994774
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto ambaye amezaliwa akakuta historia kwamba baba alikuwa na gari zamani haisaidii. Mtoto ataonekana mjinga akianza kujivunia historia wakati yeye tangu azaliwe hujawahi kumwona baba hata akiendesha baiskeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimamo wa Ligi baada Ya Ole Gunnar kuja UnitedView attachment 994774
Sent using Jamii Forums mobile app
He is the only unbeaten Coach in EPL this season.