Gwamahala Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 464
- 780
Na Wikihii Nimetembelea Kwenye Forums Nyingi kabisa na Mitandao Ya Kijamii na Nikagundua Kuwa FABINHO ni mchezaji anaependwa zaidi ndani ya Liverpool kwasasa kuliko Mchezaji yeyote yule.
Amewapiku Salah na VVD
Na Henderson ndiye mchezaji anaechukiwa ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.
Sadio Mane ndiye mchezaji anaizidi kusahauliwa kwa kasi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.
Robertson na Alisson ndiyo wachezaji wasio na bahati zaidi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule! Kwani ndiyo wachezaji wetu bora na muhimu zaidi kwenye timu lakini hawazungumzwi na Kumwagiwa sofa kama wengine.
Na TAA au Gomez atakuwa our Future Captain
Wakuu hapa ninaziona points 12 na clean sheets 4 bila ya wasiwasi wowote.
January
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)
February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)
Baada ya game yetu na Palace ya tarehe 19 wachezaji wetu watapata muda mzuri wa kupumzika mpaka tarehe 30.
Liverpoll ni Champion wa EPL 2018/19
Future captain ni VVD chief...
didn't mean near future bro, I mean after this Salah's generation that will end completely 2025.
Baada ya hapo only Scouser (TAA) or Charlton's boy (Gomez) will be our Captain.
Haaahaaaa.Umeongea kiunyonge mpaka nimekuonea huruma ndugu, pole sana aisee.
Sisi tunasema it's coming HOME...!
Na Ki- Jana ( wamarwa) Hoover KJH.ECHO sasa hivi ni Fabinho na VVD ndo habari kubwa.
Nasubiri siku Keita akiweza kuikaa namba 8 vizuri tu ili Hendo apishe kabisa.
Nikajua Cammacho ni winga anafosiwa kucheza beki duh.Mapendekezo yangu this January:
Tusajili only Timo Werner
Mapendekezo yangu Next Summer:
Tusajili only Nabil Fekir
Ushauri wangu Next season:
Mpaka hapo hatutohitaji usajili mwengine zaidi ya hao wawili
- Harry Wilson Arudishwe Liverpool
- Grujic arudishwe Liverpool
- Cutis Jones apelekwe kwa Mkopo Germany au Midtable timu inayocheza EPL
- Camacho afanywe kuwa ni back up rasmi ya TAA
TAA the next SG.Na Wikihii Nimetembelea Kwenye Forums Nyingi kabisa na Mitandao Ya Kijamii na Nikagundua Kuwa FABINHO ni mchezaji anaependwa zaidi ndani ya Liverpool kwasasa kuliko Mchezaji yeyote yule.
Amewapiku Salah na VVD
Na Henderson ndiye mchezaji anaechukiwa ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.
Sadio Mane ndiye mchezaji anaizidi kusahauliwa kwa kasi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.
Robertson na Alisson ndiyo wachezaji wasio na bahati zaidi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule! Kwani ndiyo wachezaji wetu bora na muhimu zaidi kwenye timu lakini hawazungumzwi na Kumwagiwa sofa kama wengine.
Na TAA au Gomez atakuwa our Future Captain
Gini anaogopa sana kucheza na Hendo. Hamuamini. Ukimpanga Gini na Fab anacheza kwa pace kubwa,confidence, na morari ya hali ya juu.Mkuu mchawi wa Hendo ni mmoja tu kwasasa!
Ni Alex-Oxlade Chamberlain huyu ndiye atakayekuja kumkalisha Hendo Benchi.
Mido itakuwa hii ↓↓
GINI - FABI - AOC
Bila shaka.Wakuu hapa ninaziona points 12 na clean sheets 4 bila ya wasiwasi wowote.
January
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)
February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)
Baada ya game yetu na Palace ya tarehe 19 wachezaji wetu watapata muda mzuri wa kupumzika mpaka tarehe 30.
Liverpoll ni Champion wa EPL 2018/19
Nikajua Cammacho ni winga anafosiwa kucheza beki duh.
Yule anafaa kwakweli hasa kupandisha mashambulizi ni mzuri sana.
Hivi yule mkoba anae itwa philips alitolewa au yupo bado? nimemkubali kuliko Lovlen nae.
Sasa kaka wewe ni solja unapangiwa kua same group na mgambo... how will you feel...?![emoji56]Gini anaogopa sana kucheza na Hendo. Hamuamini. Ukimpanga Gini na Fab anacheza kwa pace kubwa,confidence, na morari ya hali ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namkumbuka yule mwanasiasa wa Kenya ( Kijana Wamarwa)Wamarwa? Sio Ki-Jana Mabula Hoever?
Mgambo! Walimtoa Nduli IDD Amin [emoji61] [emoji379]Sasa kaka wewe ni solja unapangiwa kua same group na mgambo... how will you feel...?![emoji56]
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu humu.Sisi akina liverpool fake tuta comment wapi ujio wa AOC & GOMEZ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Isije ikawa anamapenzi nae ulimwangalia vizuri zile mechi 2 za Man u na Mancity alivyo mtulivu?Phillips yupo U23 coz Klopp hajawa Convinced na kipaji chake na ndiyomana anamrate Ki-Jana kuliko yeye
Itabidi tuwaombe halisi watupishe hapahapa tujifunze mana wao ni wazoefuSisi akina liverpool fake tuta comment wapi ujio wa AOC & GOMEZ...
Sent using Jamii Forums mobile app