afuu acha kuandika kike kike weweacha kuteseka .....
muda wa kujipa ubingwa bado maana huyo spurs unayemtaja hata big4 haingii.............
tundu limbolewa kheeeeeeeeeee kheetoeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeee wewe ni moja ya washangiliaji wa loserfool maana washabiki HALISI wa liverpool wanajulikana
hapo katika red ungeandika tundu
Liver HALISI.kheeeee kheeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeee kuna HALISI na CHIPOLOPOLO humu ndani hawa chipolopolo sasa hivi watakimbia watawaachia wenzao liver yao
sasa mkuu kwani unateseka?afuu acha kuandika kike kike wewe
Hayo ma kheeeeee ya nini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahasasa mkuu kwani unateseka?
maana kule katika viunga vya GUNNERS ulikuja kukesha ukalala na huduma zote ulipata na shombo ulilitoa kama lote sasa iweje hizi kheee kheeeeee kheeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeee kheeee kheeeeeee kheeeeeeeeeeeee zangu zikutese wakati nina furaha mwenzio sisi ni ndugu bwana so tuwe wote katika shida na raha
Ushabiki wa mpira una beba watu wengi. Wenye mahaba tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
naaaaaaaaaaaaaaam wengine hatunywi pombe,hatuvuti sigara,hatutumii shisha ila soka ndio burudani yetu na ndio maana tunaangalia mpaka sodo mitaani so tuvumiliane bandugusasa mkuu kwani unateseka?
maana kule katika viunga vya GUNNERS ulikuja kukesha ukalala na huduma zote ulipata na shombo ulilitoa kama lote sasa iweje hizi kheee kheeeeee kheeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeee kheeee kheeeeeee kheeeeeeeeeeeee zangu zikutese wakati nina furaha mwenzio sisi ni ndugu bwana so tuwe wote katika shida na raha
wewe ilimradi tundu tayari sina hofu na wewe maana naweza kukukuta unatiririka kwenda chini tu hili ni soka na hii ndio EPL .......MTANYOOKA TUHaha
Mkuu huo uandishi wako bhana yaan umekaa kinafiki nafiki
So unataka kuniambia huyo spurs kat yako na chelshit nani atamshusha chini spurs???
Huo uwezo the gono kwa sasa hamna kaeni pembeni mtazame yajayo tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawawewe ilimradi tundu tayari sina hofu na wewe maana naweza kukukuta unatiririka kwenda chini tu hili ni soka na hii ndio EPL .......MTANYOOKA TU
na akienda timu nyingine usije ukaja hapa kumponda kijana wa watu.................
ni angalizo tu
Battle is battle either to win or to lose will remain a battle,.
Hendo Hendo Hendo ungekua mnorway ama denmark huenda tungekuona kwenye vitabu umewah kukipiga LFC.
Ni ngumu sana kumbadili mtu mtazamo wake anaotaka ila muda mwl. mzuri hakuna wa kubishana nao.
waliojibatiza halisi waliobatizwa sio halisi sote tuvute kahawa tukisubiri offload za failures,.
THIS IS LIVERPOOLFC... YNWA
ALLEZ ALLEZ ALLEZ..
Sent using Jamii Forums mobile app
kama mpira unaamliwa na MTU kufikisha timu sehemu Fulani basi Geroud anastahili kuwa mchezaji bora wa dunia kwa sababu alifikisha timu yake ya ufaransa fainali na wakachukua ubingwa wa WC.Yah! Upo sahihi Napenda ushindi tu na Ninachukia Kufungwa.
Key Points ya Hiyo Comment yako:
• Hendo Katufikisha Fainali
• Hendo Katufikisha Unbeaten mechi 20
Na hapo wewe na watu kama wewe ndiyo uchambuzi wenu unapoishia.
Kwahiyo kama Maarifa yako ndiyo yameishia hapo katika mpira sina cha kukusaidia.
Swali Moja tu ninakuuliza:
Karius Katufikisha Fainali ya CL Msimu uliopita kabla ya Alisson, Kwanini Hakuendelea Karius aliyetufikisha Fainali badala Yake golini anamueka Alisson ambaye hakutusaidia chochote kufika Fainali?
Ukinijibu kwa hoja Nahama JF
Lallana will be replaced by wonderkid from uturuki anaitwa Abdukadir Omur....price tag yake ni.£27mLalana is moving out replaced by Ki-Jana Hoover a Dutch from Melwood.Just a 16 teenage.
It seems as Jorgen influenced by Dutches to include VVD and Gin.
The dutches are so massive in terms of endures,and body fitness.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo movement zake hazisaidii chochote kwenye team. Kweli masikini akipata matako hulia mbwata. kila mchezaji anaepata nafasi ya kacheza ni muhimu katika timu yoyote asipowafaa mnamuuza tu atawafaa wengine kwani mlilazimishwa kumnunua. Kama walishindwa mido ya Gerrad, Alonso & Machelano kuchukua EPL ndio ya kina Fab inawafanya muone wengine takataka ndio maana hamfanikiwi munawaza majungu zaidi kuliko umojakama mpira unaamliwa na MTU kufikisha timu sehemu Fulani basi Geroud anastahili kuwa mchezaji bora wa dunia kwa sababu alifikisha timu yake ya ufaransa fainali na wakachukua ubingwa wa WC.
Hendason anabebwa na wachezaji wenzake tu wenye vipaji sio kwamba kaisidia Liverpool kiivinyo.
Juan Fernando Quintero this exiting lad rumoured to be heading to Ethad,guys how do we miss on such a talents....
Hivi katika sajiri hizi zenye ushindani kuna club iko tayari kuweka siri wazi kwamba wanamtaka mtu fulani?Unajua kwasababu gani nimesema "Loading"
Kwasababu Ni tetesi tu za Magazeti zilizopo lakini Klopp hajazungumzia chochote kuhusu kumtaka Werner, wala uongozi wa Liverpool haujafanya Mazungumzo yoyote kwa Mchezaji wala Timu Yake.
Kwahiyo sasahivi ni Media ndiyo zilizokomalia hii issue ya Timo Werner!
Sasa ndiyo uelewe ikitokezea akienda Man United au Bayern usije hapa ukasema Liverpool walimtaka wakamkosa.
Siku Klopp atakayomtaka hatomkosa