Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Usithubutu kukutana na hao jamaa kwa kumgusa mchezaji wanaye m-support ... now days huwa napita kimya kimya kwenye hizi platform matusi yao siyo mazuri asee
 
Mwanzoni mwa msimu kabisa, niliwahi kupost kuwa Klopp's starting Midfield should be Fabinho/Gini/Keita

Now, we all know kuwa, one of Klopp's weaknesses ni "trust issues", but he went on na kuanzisha hii midfield against our biggest rival in the world.

..and report zinaonyesha kuwa Keita was injured in the first half, but Klopp kept him uwanjani in the 2nd half mpaka aliposhindwa kuendelea, (unaweza ukaangalia vizuri keita alivyotoka uwanjani na kupokelewa na Klopp alikuwa analalamika and Klopp alionekana kama alikuwa anajaribu kujustfy kwa keita kwanini alitaka aendelee kucheza baada ya ile injury first half)

So Klopp risked an injured Keita kuendelea kucheza wakati ana options kwenye bench, then he went on to start shaqiri against Arsenal, dropping the Captain in 2 big games in a row..

and if Keita was fit enough he'd be in contention for City, but i think Klopp wont risk him now, as ana stitches upande wa kulia wa mbavu.

i know Klopp hamuamini Hendo kwenye big games now, but i'd start him against City as we need a mid-block ili ku-nulfy City's attacking pahses.

My team will be; Allison-Clyne-Lovren-VVD-Robertson/Fabinho-Gini/Henderson/Firmino-Mane-Salah

or, Kama Millie akiwa fit i'd go with a midfield-3 of Gini/Hendo/Milner kwaajili ya negative football and concentrating on channeling the phases kwa dk 80, then bring on Faby to break those phases for 10 minutes na kuopen chances for the front 3 (assuming mpaka dk ya 80 matokeo yatakuwa 0-0 or 1-1)

worrying about TAA man, he was awful against a toothless Arsenal
 
This City game inaweza kubadilisha picha nzima ya title race

if we win, then wont be dreaming anymore but i'll BELIEVE

if we draw, i'll continue to dream

if we lose, then i'll wake myself up from this dream

we need a draw or a win.

my heart and mind reckons, take a draw and run
 
To be honest, kwenye game ya City dhidi ya Southampton, thought City were still very much out of shape. its just that Ralph's attacking approach was poor, but man the build up leading to our game on Thursday is huge, a lot of talks and pressure man

Yes, we beat them last season pale Etihad kwenye CL, but it was a 2 legs game na tayari tulikuwa tumeshinda at Anfield so we had no fear man, but this one ni matter ya title and re-writing the history. the pressure is huge.

i love football
 
ushamsikia Peter Drury akitaja jina POGBAAAAA, man its priceless

jana baada ya Pogba kufunga yale magoal

Peter Drury; WHERE HAS HE BEEN FOR HEAVENS SAKE?????????

Peter Drury; THIS IS THE POGBA WE WANT TO WATCH

kwenye HT when United were leading 3-1

Peter Drury; MANCHESTER UNITED RE-INFUSE WITH THE DEVIL
 

Hii game I got a feeling, a win with 3 goals tuki-play as we did against arsenal

Lakini kwakua city wataingia na mentality ya 'must win' game then tukacheza with very calm mentality, we'll come up with 1-0 win
 
United fans need to put in their libraries, Peter drury commentary ile siku wanamfunga City goals 3 at Etihad baada ya kuwa bao 2 mbili nyuma at HT (last season)

Baada ya POGBA kusawazisha bao la Pili

Peter Drury; POGBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA, IN A FLASH, THE SCENE HAS CHANGED, SHADES OF RED ON THIS BLUE, BLUE DAY
 
Firmino scores his penalty Vs Arsenal

Peter Drury: "JUST FEEL THIS PLACE, JUST FEEL ANFIELD AND MAKE YOUR MIND UP"
 
Ox recovering well

will be back kati ya feb or early march

will be a huuuge boost man

we cant afford to bottle against City on Thursday
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…