Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,472
- 32,924
umesahau gemu zote ulizotabiri hivi karibuni mkuu natoka kifua mbele sio dro mbali ni ushindi murwa kabisa.....Mpira una matokeo matatu.
Kupoteza, kushinda, na kusuluhuu/sare.
Sasa kwa Nu casto yatakuwa mawili tu
Upoteze ama u draw..
Hahahahahaha tarehe 29 sisi Arsenal tutaleta maafa apo Anfield.Anawatia gundu huyu mtu nyie wana Arsenal
Fuatilieni mechi ambazo huwa anaside huwa zinakuaje at the end
Siku zote Liverpool hupata tabu sana wanapokutana na Arsenal ..hata akishinda ni kwa tabu tu na bahati bahati.Hiyo game inategemea na hali ya kikos cha arsenal
Iwapo toreira ,xhaka na kola wakiwepo
Bas sitashangaa liver wakistruggle
Coz itafanya bek ya arsenal ikae sawa, coz game karibu ya tano sasa arsenal anacheza bila bek za kati, zote majeruh na zina kad za njano
Leo kuna risk moja ,toreira ana kad 4 za njano, hivo leo akipata kad moja tu ataukosa mchezo wa liver
Kwahiyo tunangoja baada ya game ya brighton tujue liver atakufa ?
Iwapo watakuwepo hawa ,toreira,xhaka, auba,laca, ozil
Bas wachezaj hao hufanya bek ya arsenal irud kama awali japo sio nzur sana ,ila ina uafadhali kuliko hii ya sasa amabayo inabid xhaka akapige CB , na kumfanya toreira acheze kawaida pale kati, na kushindwa kupanda sana mbele
HIZO NI FACT ambazo wana arsenal tunaamini wakiwepo hao mech ya tarehe 29 patachimbika anfiled
Mtavuna kipigo tu..Wakuu line up ikitoka itupieni hapa faster tuone leo tutavuna nini...YNWA!
Sio ramli ni mahesabu tu ya kimpira.wazee wa ramli katika ubora wao, asipofunga Salah atafunga Mane, Shaqir n.k...
Hapa sio kushinda mpaka Hazad afunge akikamatika hakuna ushindi...
asa mahesabu hayo mnakuaga nayo tu nyie au...nwei muda unasogea baada yadakika 90+ tafadhali rejea hapa maana najua utakimbia kimya kimya huku sie tukichekelea ushindi wa 26 kwenye ligi 2018...Sio ramli ni mahesabu tu ya kimpira.
Kwamba leo inaonyesha Liverpool atapoteza...
Hahahahahaha tarehe 29 sisi Arsenal tutaleta maafa apo Anfield.
Kwanza leo Nu casto anakuja kukuvuruga apo apo kwako.
Engine ya wapi wakati hajui kukaba, pasi anazotoaga sio pasi zenye madhara. Ana jambo zuri moja tu kuwa yeye ni highly resistant kwenye kukabwa
Match officials today vs Niucasto
Referee: Graham Scott
Assistants: Eddie Smart, Marc Perry
Fourth official: Lee Mason
Game ni ngumu
Hii ni game nyepesi kama uji Kwa mgonjwa trust me.