Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kabisa kikosi cha leo murwa kabisa...hope Norbert ataedelea kuingia JF na kusikiliza kilio chetu hehe...3 points muhimu sana leo kuzipata
 
kabisa Mkuu Carlsberg ilitulia sanaa
 

Titi Camara, mzee wa kupiga visigino.

Aisee.
 
Ingawa Derby sikuzote ina ugumu wake! Lakini Hii game tayari Ni Yetu!
Kinachotakiwa Ni Salah na Mane wawe Makini tu pale mbele Coz wanapoteza sana mipira
 
Hata hivyo mpaka sasa inaonesha hii Derby Ni ngumu lakini naamini Klopp kwenye 2nd Half atakisolve alichokigundua 1st Half
 
HONGERENI KWA USHINDI LAKINI ACHENI KUJIOVERRATE TIMU YENU YA KAWAIDA SANA MAANA LEO KLOPP KAWAVUA NGUO,MAANA HAO WACHEZAJI MUNAOWALILIA KILA SIKU WACHEZESHWE LEO WAMEPANGWA NA HAKUNA JIPYA TIMU BADO HAIPO KAMA MATARAJIO YENU YALIVYO........KIPIGO CHENU CHAJA SOON
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…