Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Haha mkuuKuna wapenzi wa Liverpool, mioyo yao siyo ya kijogoo.
Hao ni pamoja na Manga ML,@ bardizbah@ King Ngwaba.
Kabla ya mechi humponda sana Klop.
Team ikishinda wanasema" watalala usingizi mololoo"
Klop ni mwl mzuri kupitiliza.
i will take Firmino ova al otha front three any tym anywhere come rain come sunshine....this boy does so much yet so underrated....Firmino on top as always japo haonekani. Leo ame drop deep zaidi ya hendo kuchukua mipira chini na kupandisha team.
Captain ni shit kama siku zingine. Hakuna chenye analeta kwenye team zaidi ya negative effects tu..
Robbo and Trent on top once again.
hehe akina Kimaro n crew aaa hiki kipigo hawatakisahau haraka kihivyooooo.....Wale fan wa chelshit siwaon huku sijui wanatafuta pakumuweka jorginho maana game na manu aliflop na hii ya Jana ndo kabisaa
awesome signing for both...leadership at t best...even wt th useless Lovren he still managed to keep things calm...• VVD
• Laporte
I'm speechless
pure supreme class....Roberto Firmino vs Watford
88% passing
1 chance created
2/2 dribbles
6 aerial duels
2 interceptions
3 shots
1 goal
n yet he aint full throttle....yajayo yanafurahishaaa....One season wonder Mo Salah tayari ameshafunga 7 goals and assisted 3 goals kwenye Premier League tu this season.
Just one behind Sergio Aguero (8 ⚽️)
This Man will never flop
n hey Shaqir had a good game n very good crossings umaliziaji ndio ulikosa...Sky sport MAN OF THE MATCHFirmino on top as always japo haonekani. Leo ame drop deep zaidi ya hendo kuchukua mipira chini na kupandisha team.
Captain ni shit kama siku zingine. Hakuna chenye analeta kwenye team zaidi ya negative effects tu..
Robbo and Trent on top once again.
for real kweli mmepagawa....
hahaha fellow kopyt nice one comin from th guys wt 3 clean points...mkuuu Klopp yupo sana tuuuuu....Klopp out
Klopp out
Klopp out
0-3!
Kwa mid tuliyonayo sasa hakuna cha kumkumbukia nacho hendo hata kimoja labda kwa nationalityHendo ni nahodha wetu!
Klopp anayempa nafasi anajua kuliko mtu yyt hapa kuhusu soka
Hata close hatumfikii
Our Captain Hendo your apologize have been accepted,we will miss you against Everton
Wale fan wa chelshit siwaon huku sijui wanatafuta pakumuweka jorginho maana game na manu aliflop na hii ya Jana ndo kabisaa
To be honest sijawahi kuwawaza Chelsea msimu huu kwa chochote kile Coz nilijuwa tokea mapema kuwa hawana safari!!
Mimi kabla ya Ligi kuanza nilijua kuwa Guardiola kwa usanili anaofanya na ufundishaji wake ndiye kikwazo pekee kwa timu yetu