OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,314
Kila siku nyinyi mnapima uwezo na kujenga timu hatari Sana hii. Inamaana bado hamuamini mabeki wenu.
Mpaka sasa hajashinda EPL lakini hajashindwa kwasababu bado yupo anashindana
Chelsea katika Harakati Zao Za Kucheza Mechi Za Futuhi (Kila Alkhamis) Wameamua Kujibabaisha na Kuanza Kukomalia Timu Za Watu Zinazoshiriki Ligi Ya Wanaume Ya CL.
Lakini Watambue Tue Kuwa Liverpool Kamwe Haiwezi Kutolewa Hatua Ya Makundi.
Hata Kama Leo itafungwa basi Wajue Mechi ya Leo sio Knockout Stage Bali Kuna Mchezo Mengine inafuata.
Umejibiwa HajashindaHajashinda EPL ina maana mengine ameshinda? Au hujaelewa swali mkuu?
Kwanini aliweza kubeba vikombe viwili Bundesliga lakini EPL ameshindwa? Hata Yale mnayoita ya mbuzi.
Mwenzie Conte kaja msim wa kwanza tu kabeba, Gurdiola kaja ndani ya misimu miwili kabeba ...Mou kabeba Europa, Carabao, Community shield ndan ya msim wa kwanza tu Man u ...yeye Klopp ana misimu mingap tang aje England hajabeba kombe lolote lile? Bado anajenga timu?
Ok basi kumbe bado anashindana! Wengine wakindelea kuchukua.
Hivi unataka ujibiwe nn?Hajashinda EPL ina maana mengine ameshinda? Au hujaelewa swali mkuu?
Kwanini aliweza kubeba vikombe viwili Bundesliga lakini EPL ameshindwa? Hata Yale mnayoita ya mbuzi.
Mwenzie Conte kaja msim wa kwanza tu kabeba, Gurdiola kaja ndani ya misimu miwili kabeba ...Mou kabeba Europa, Carabao, Community shield ndan ya msim wa kwanza tu Man u ...yeye Klopp ana misimu mingap tang aje England hajabeba kombe lolote lile? Bado anajenga timu?
Ok basi kumbe bado anashindana! Wengine wakindelea kuchukua.
Hivi unataka ujibiwe nn?
Maake unauliza na majibu unayo,
Hio ni historia, na me naangalia msimu huu na kwenda mbele.Nataka nijue kwanini Leicester City amebeba EPL halafu wewe bado.
we mzee wa futuhi huyo ni mgeni mwenzio, nyie subirini alhamisi jumanne na jumatano ni maji ya shingo nyie level zenu maji ya ugoko.Hahahaha huwa nasema hii timu kuanzia kocha mpka mishabiki huwa haijiamini kabisa. Mfano leo utashuhudia mengi tu
Ndo jibu hlohuwa sipendi kujihusisha kwenye hizi trivial debates lakini nikukumbushe kuwa Fergie alianza kufundisha Man U 1986.
trophy yake ya kwanza ilikuwa ni FA Cup miaka 4 baadae.
the rest is history!
fast forward 2015 enter Klopp. mwezi ujao ndiyo kwanza anafikisha miaka 3.
don't go away!
Tuna game nyingi sana. Henderson will get injured. Atacheza sana mbonaYani Hata Sielewi!! Hivi Huyu Fabinho Kuwa Hagaiwi Hata Zile Dakika 3 za Extra Time Ni Kweli Kuwa Anaandaliwa Ajifunze Au Kuna Jambo Nyuma ya Pazia??
Yani Kama Haiingii Akilini Hivi!!!!
Hivi usajil ulio kua unafanywa manu ,chelsea,mancity utalinganisha na usajil uliokua unafanywa liver na unajua kwann???tuanzie hapa maana mpira unaupenda lkn hutak kuufatilia???Hajashinda EPL ina maana mengine ameshinda? Au hujaelewa swali mkuu?
Kwanini aliweza kubeba vikombe viwili Bundesliga lakini EPL ameshindwa? Hata Yale mnayoita ya mbuzi.
Mwenzie Conte kaja msim wa kwanza tu kabeba, Gurdiola kaja ndani ya misimu miwili kabeba ...Mou kabeba Europa, Carabao, Community shield ndan ya msim wa kwanza tu Man u ...yeye Klopp ana misimu mingap tang aje England hajabeba kombe lolote lile? Bado anajenga timu?
Ok basi kumbe bado anashindana! Wengine wakindelea kuchukua.
Tuna game nyingi sana. Henderson will get injured. Atacheza sana mbona