Na mpira anaondoka naoUmeona ee? Teh teh teh
Na mpira anaondoka naoUmeona ee? Teh teh teh
Mane kaniudhi,
barufuyabaridi imekula kwako....sisi huku rahaaaaLiver safari imefika, wanatolewa on aggregates!
Mkuu,jaribu kuangalia match!Acha kubeti bila kujua mpira unachezwaje!Kuna kiumbe humu ndani anaitwa Salah!Ni tishio na huenda wali mu underrate..Leo watapigwa hata goli tano hawa RomaLiver safari imefika, wanatolewa on aggregates!
Hahahah na hat trik inamuhusuJamaa anaboa sana.
we hit em big....em shabiki wa manshit,manure,chelsink,Gonnas n.k kimyaaaaaawe are the cl animals
Huyo ndiye liverWakuu Anachikfanya Gini Mumekiona??? Yani Kuingia Tu Roma Wamegeuka Kuwa Underdogs!!! Jamaa Kabadili Mwelekeo Wa Mchezo Kabisa.
huyu jamaa mechi za nyumbani anazijulia sanaaa yaaani hawa Roma mpaka sasa wana bahati hawajapigwa 5 kavu mpaka sasa...Wakuu Anachikfanya Gini Mumekiona??? Yani Kuingia Tu Roma Wamegeuka Kuwa Underdogs!!! Jamaa Kabadili Mwelekeo Wa Mchezo Kabisa.
the young Koppite ana kipaji mpaka sasa kazi anaifanya kwa ufundi na utulivu...Naomba kukiri wazi kumuogopa Salah maana akili nyingi kuliko mpira wenyewe, an Egyptian is unstoppable anafundisha Messi na dugu yake Ronaldo kufunga bila guvu nyingi
Liver safari imefika, wanatolewa on aggregates!