Porto ni mama tatizo lako unataka majina makubwa sio mpiraHapo unazungumzia Liverpool ya kipindi gani na Man City ipi? Nyoosha maelezo nani anambahatisha mwenzie kwa sasa?
Liverpool hii nilikwambia ile siku ni genge la wahuni watatu imfunge Man City?
Unajua Liverpool toka hatua ya makundi mmepita kwenye kundi mama mama na Porto nao vile vile?
Wote wanaoleta pang'ang'a acha walete tu, siku tunamla uroda huyo man shit ndio watakuwa watazamaji na hawataongea lolote.Kwani Wewe unataka vipi? Hata Liverpool hii ya Sasa last season iliifunga Man City ya Sasa, Na Msimu Huu pia Liverpool ya Sasa iliifunga hiihii Man City ya Sasa. Ukitaka Pia Liverpool Na Man City za Miaka 5 iliyopita ndiyo utanyamaza Kimya kabisa.
Kilichompa Promo Man City Ni Kule Kutufunga Goli 5 tu msimu Huu.
Usiniletee Maneno ya Kwenye Kanga! Weka Stats Hapa za Recent years au Mwaka Huu kadri utakavyoamua ili tutazame nani ana Kawaida ya Kumbahatisha Mwenzie
Mmh kivipi sijamuelewa kabisa ilikuwa ndoto yao kivipi akimaanisha kwamba wamefurahi kukutana kwa timu za Uingereza???
Hapo unazungumzia Liverpool ya kipindi gani na Man City ipi? Nyoosha maelezo nani anambahatisha mwenzie kwa sasa?
Liverpool hii nilikwambia ile siku ni genge la wahuni watatu imfunge Man City?
Unajua Liverpool toka hatua ya makundi mmepita kwenye kundi mama mama na Porto nao vile vile?
Hata tukizungumzia hiyo game ya mwisho mashabiki duniani kote Wa Liverpool waliamini wameshinda hadi refa alipopuliza kipenga team mmemuacha difference ya goal 4 Ila comeback ilikuwa inawezekana zilibaki Kama sekunde tatu yangekuwa mengine. Sasa nakushangaa unakuja kutamba kwa ile game labda uliangalia matokeo livescore ukaona ni ushindi basi ukajua uwanjani mambo yalikuwa mepesi kiasi hicho.Kwani Wewe unataka vipi? Hata Liverpool hii ya Sasa last season iliifunga Man City ya Sasa, Na Msimu Huu pia Liverpool ya Sasa iliifunga hiihii Man City ya Sasa. Ukitaka Pia Liverpool Na Man City za Miaka 5 iliyopita ndiyo utanyamaza Kimya kabisa.
Kilichompa Promo Man City Ni Kule Kutufunga Goli 5 tu msimu Huu.
Usiniletee Maneno ya Kwenye Kanga! Weka Stats Hapa za Recent years au Mwaka Huu kadri utakavyoamua ili tutazame nani ana Kawaida ya Kumbahatisha Mwenzie
Porto ya kipindi kile uwezi kusema ni Porto ya kipindi hiki.Porto ni mama tatizo lako unataka majina makubwa sio mpira
Porto kampiga Monaco 5 unasema mama
Just because kafungwa na Liverpool unajisahaulisha man city nae kafa anfield ,alishinda game ya kwanza we mwenyewe unajua kadi nyekundu ndo iliharibu mechi maana angekaa vilevile.
City ujanja wake wote sio kwa Liverpool
Mkuu unajuwa Mambo Yapo hivi:
• Tarehe 04/04/2018 Ni Liverpool v/s Man City (1st leg [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG])
• Tarehe 07/04/2018 Ni Man City v/s Man United ([HASHTAG]#EPL[/HASHTAG])
• Tarehe 10/04/2018 Ni Man City v/s Liverpool (2nd leg [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG])
Sasa hapo Katika Kuwania Top 4 itakuwa Ni Advantage Kwa Man United Kushinda Game dhidi Ya Man City Kwani Man United Kuwa Katikati ya Michezo hiyo Miwili Ni Lazima Man City Kwenye Game na Man United atapumzisha Key players Kama Vile De Bruyne, Sane, Silver, Aguero (If fit) Kwa Kuwaandaa Kwenye Mechi na Liverpool.
Hilo Ndiyo alilolikusudia Klopp.
kabisa kabisa.Liver vs Man City, very unfair. Both had potential to be in Semis
No. Yani walikua wanatamani sana draw inafanyika na wao wakiwepo yani was their dreams kua kwenye drawMmh kivipi sijamuelewa kabisa ilikuwa ndoto yao kivipi akimaanisha kwamba wamefurahi kukutana kwa timu za Uingereza???
ahahah kumbe karusha kijembeNo. Yani walikua wanatamani sana draw inafanyika na wao wakiwepo yani was their dreams kua kwenye draw
Klopp atampiga Guardiola...believe me.kabisa kabisa.
I don't like the sound of this draw at all. kwenye EPL the aggregte score is 8-4 in City's favour - so that should be the barometer towards this tie.
to beat Guardiola over 2 legs Klopp needs to (he actually MUST) adjust our approach - of course bila kuharibu attack-minded philosophy yetu.
Ni kijembe kile ahahahahahah kumbe karusha kijembe
Kamchokoza Mzee wa mipasho JoselinaNi kijembe kile ahahah
kwa mahesabu ya hawa watu ni lazima mwenyezi Mungu awe upande wenu ili kushinda hili kombe ,nina uhakika kwa vyovyote vile man city na liverpool zisingekutanishwa pamoja zote zingefika semi final
Joselina ameyataka mwenyewe juzi alianza fujo mwenyewe kwakusema liverpool wana uefa ila hawana FA bila kuulizwa na mtu yoyote kabwatuka tuKamchokoza Mzee wa mipasho Joselina
Mambo ya hot balls and cold balls, inakuwa bahati nasibu iliyopangwakalou hebu niweke sawa hapa,hii draw huwa inapangwa au ni bahati tu ya nani kupangiwa nani?
kalou hebu niweke sawa hapa,hii draw huwa inapangwa au ni bahati tu ya nani kupangiwa nani?
Mambo ya hot balls and cold balls, inakuwa bahati nasibu iliyopangwa
sibishi....unaweza kuwa sahihi.Klopp atampiga Guardiola...believe me.