ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
hadi sasa sijui torres anafanya nini uwanjani. oscar kakosa goli la wazi. mia
not ease like that man...
hadi sasa sijui torres anafanya nini uwanjani. oscar kakosa goli la wazi. mia
Hata mkiungwa mkono na Ma U ni lazima tuwachape tu leo
losserfool wanapata kona..
Nimeipenda hii, liverpool kawa losserfool kweli losserfool
hazard anatisha. ni dakika ya 31. chelsea 1 - 0 liverpool. mia
Man U ni maadui wakubwa wa L'pool Fc hapo Uingereza na hamna mwingine!
Na adui siku zote mwombee njaa!