Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
Mkuu upi sahihi kabisa...Liverpool sio ya kugombania nafasi ya nne bora ila kwa sasa huo ndio ukweli kwa nafasi tulipo na moto wa hawa jamaa wa Ethad sioni nafasi nyingine zaid ya big four ili tubaki Champions league msimu ujao na kubakisha mastaa wetu na vile vile kuwavutia wengine waje Anfield kama akina Lemar n.kMkuu Katika Kauli Ninayoichukia Zaidi ni hii Ya Kumuona Mshabiki Wa Liverpool Anazungumzia "NNE BORA" ...
Hivi Mkuu Inakuaje Malengo Ya Washabiki wa Liverpool si Kombe bali ni Nne bora??
Hayo ni Mawazo Ya Mashabiki Wa Arsenal kuwa Wao Hata Wasibebe kombe Wakishakuwa Nafasi Ya Nne tu na Kucheza Champion League basi Wamesharidhika...
Mkuu Hata Kama Tutaingia Nne bora Miaka 100 kama Hatubebi Makombe (Mostly EPL) basi itakuwa haina maana Yoyote...
Ni wazi Kuwa Klopp Ameshawajenga Mashabiki wa Liverpool Psychologically Wafikirie Top 4 tu kila Msimu na Wala si Ubingwa...
Mkuu Timu yetu ni aibu Kugombania Top 4..
Mshabiki Wa Kweli ni Yule Anaetamani Ubingwa na si Top 4...
MY TAKE:
MSIMU HUU MIMI KWA UPANDE WANGU NINAISHABIKIA LIVERPOOL KWA LIGI MOJA TU YA CHAMPION LEAGUE, KWA UPANDE WA EPL MIMI NAANGALIA TU PERFORMANCE ZA WACHEZAJI LAKINI NAHESABU HATUGOMBANII KITU NA LIGI TUMESHAMALIZA...
SIJUI HIYO TOP FOUR MIMI SIITAMBUI KWANI SIJAPENDA LIVERPOOL KUJAKUGOMBANIA NAFASI YA NNE...
kabisaa Mkuu kwa msimu huu hakuna kikombe kingine tunaweza kuchukua zaidi ya hiki na ambacho mashabiki wengi wa Livapoll huamini "Liverpool is made for this"..Sasahivi Ninajiandaa Taratibu Kusubiri Muda Wa Kuangalia Game Yetu Ambayo Kwamimi Ndiyo Kombe Pekee Ninaloamini Kuwa Liveepool Kwa Msimu huu Ndiyo inayoshiriki na Kugombania...
Huko kwengine sijui EPL, mara FA nahesabu ni mazoezi tu ya Kuwaeka Fiti Wachezaji Lakini Hatugombanii Kitu..
Sevilla Jiandaeni tunakuja Kuondona na Points 3.
Sevilla anakufunga na Spartak anashinda wote muwe na point 8 na game yako ya mwisho spartak hapo hapo anfield anakugongaSasahivi Ninajiandaa Taratibu Kusubiri Muda Wa Kuangalia Game Yetu Ambayo Kwamimi Ndiyo Kombe Pekee Ninaloamini Kuwa Liveepool Kwa Msimu huu Ndiyo inayoshiriki na Kugombania...
Huko kwengine sijui EPL, mara FA nahesabu ni mazoezi tu ya Kuwaeka Fiti Wachezaji Lakini Hatugombanii Kitu..
Sevilla Jiandaeni tunakuja Kuondona na Points 3.
Mkuu Anfield kwenye mechi za champions league usipime...pale usiku mechi hizi timh pinzani ni kwi kwi..Sevilla anakufunga na Spartak anashinda wote muwe na point 8 na game yako ya mwisho spartak hapo hapo anfield anakugonga
Sevilla anakufunga na Spartak anashinda wote muwe na point 8 na game yako ya mwisho spartak hapo hapo anfield anakugonga
Kwa kwa kwa kwa Leo unafungwaMimi Naona Mzimu Wa Roma Bado Unakuandama bro!!
Fahamu Kuwa Nje Ya EPL hakuna Timu Yoyote Yenye Uwezo Wa Kumfunga Liverpool..
Mkuu Anfield kwenye mechi za champions league usipime...pale usiku mechi hizi timh pinzani ni kwi kwi..
Kwa sasa rythm imerudi angalau Klopp amekua mwelewa wa nini kifanyike matokeo ya ushindi yapatikane...utaishia kuisoma namba Livapool hio last 16/8/4/2/1bingwa
kwi kwi tunaongoza 3 ni mapumziko...ujumbe kwa wazee wa darajani..Kwa kwa kwa kwa Leo unafungwa
Go liva Go the kops...FT:
Spartak Moscow 1 - 1 Maribor
HT:
Sevilla 0 - 3 Liverpool