Hivi ata Origi naye si ndo tulimsajili kwa style hii ya Naby Keita?!?
Mateo Kovacic nae nasikia anataka kuja Anfield
Hivi kwa nini wachezaji walio wengi wanamkubali ama anaishi nao kiushikajiYaa anataka
Klopo watu kibao wanamkubali
Hivi kwa nini wachezaji walio wengi wanamkubali ama anaishi nao kiushikaji
Nitatulia nikimuona VVD ndaniWachezaji wanapenda kucheza mpira wa maana,Sanchez mwenyewe kama tungemuhitaji angekuja!
Hakika...!Nitatulia nikimuona VVD ndani
Manchester ndie mbahatishaji sio liverpool
Bro wewe ni mgeni africa?Hizi habari za Keita niliziona Jana usiku nikadhani ninaota! Ila huyu jamaa...ni 'majicho' yangu au?! Umri wanaomtaja mdogo, ila nikiangalia picha yake anaonekana super-mkomao sana!
Hahahaaa! Mkuu Kidowle, nimekupata loud and clear!Bro wewe ni mgeni africa?