Legeza mwendo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 519
- 655
072 hizo timu ulizozitaja ni timu zenye mafanikio Sana England lakin kwa sasa hasa miaka ya karibuni Sio timu kubwa angalau kidogo Hata manure japo nae anakuja mliko nyie.Aah wewe Legeza mwendo unapotaja vilabu vikubwa barani ulaya liverpool haipo? Acha bhana, Liverpool ni club kubwa na wachezaji kibao tu wa kutoka ndani na nje ya uingereza kwa % kubwa wana ndoto za kuvaa uzi wa Liverpool au Manchester United.
Manchester na liverpool ndio timu kubwa pale uingereza. Hizi nyingine zimeanza kukua juzi kati hapa kwa kutumia nguvu ya pesa zakibepari. Nachotaka uelewa ni kwamba world class player wapo wengi lakini hawana majina makubwa. Hao wenye majina makubwa tunawaachi Madrid na bayern.
Unajua % 85 ya wachezaji wanaocheza Atletico de Madrid ni world class lakini hawana majina makubwa. Hiki ndio scouts wa liverpool wanachopaswa kufanya. Soko la wachezaji wenye ubora na viwango lipo ufaransa, vinchi vilivyokuwa Yugoslavia, na America ya kusini huko unawapata wachezaji wazuri na bei imekufa.
Kweli umekalala,Acha ushabiki maandazi.huijui arsenal??we wa ajabu kweli.ni timu ya mpira iko ligi kuu uingereza.ni moja ta timu kubwa kule.manchster,lvpool,aseno,chelseaa........ Ndo timu kubwa england.au dharau tuu??
Poleni kakaNafasi ya sita ni aibu mkuu ingawa bado tunaweza kujikuta tunakuwa huko kama mwendo wenyewe ndio huu wa kusuasua
Kama kuna ka ukweli iviAcheni kujidanganya nyie, Liverpool na bayern, juve, madrid wapi na wapi? Nyie kwa sasa hamna tofauti na Ajax, Milan, deportivo LA coruna hizo ndio level zenu, mnabebwa na historia na si kitu kingine.
Ibrahimovic, mkhitaryan, pogba, BFS, martial, wote hawa wamesajiliwa na man u wakati hawachezi champion league, wakati nyie mmeshindwa hata kuwavutia akina gotze.
Ifike hatua mmkubaliane na ukweli kwamba you are no longer a big club, hakuna mchezaji mwenye jina kubwa anaetamani kuchezea timu yenu kwa sasa, Acheni kujipa false hope you looser
Wee dogo ni kilazer wakupitiliza inaonekana umeanza kushabikia mpira mwaka juzi kama sio mwaka jana 2016. Unashindwa hata kutofautisha neno Team na neno Club? Tutolee ukilazer wako humu kabla hujapigwa ban072 hizo timu ulizozitaja ni timu zenye mafanikio Sana England lakin kwa sasa hasa miaka ya karibuni Sio timu kubwa angalau kidogo Hata manure japo nae anakuja mliko nyie.
Endapo itaitishwa lokoo ya timu kubwa barani ulaya, timu pekee itakayosimama na kuitika toka England ni Chelsea peke yake kwa sasa, the rest mtaulizwa WHO? Spain ni madrid, barca na atlet, Italy ni juve endapo millan atainuka watamuuliza WHO ARE YOU?
Tofautisha Kati ya kuwa na mafanikio na kuwa timu kubwa, huwezi kuita timu ni kubwa wakati Hata usiku wa ulaya huonekani, miaka ya 80's Liverpool ndio ilikua timu kubwa England na ulaya kwa ujumla the rest is history, manure ni kuanzia 90's to 20's the rest is history lakin kwa sasa ni zamu ya Abromovic fc nae atafika Kipindi atawaachia wengine
Kwa ukubwa wa club hio club yako haijamfikia hata Al ahly ya misri... kitimu kina makombe 19 tu alaf unakuja kupigapiga kelele blaah blaah kibao..kwanza bila mourinho hio chelsea tusingeijua kwenye uso wa dunia alafu unakuja kupiga kelele ni club kubwa nakuiondoa hata Milan sijui nikuweke kundi gani kama sio la kina barshiteAcheni kujidanganya nyie, Liverpool na bayern, juve, madrid wapi na wapi? Nyie kwa sasa hamna tofauti na Ajax, Milan, deportivo LA coruna hizo ndio level zenu, mnabebwa na historia na si kitu kingine.
Ibrahimovic, mkhitaryan, pogba, BFS, martial, wote hawa wamesajiliwa na man u wakati hawachezi champion league, wakati nyie mmeshindwa hata kuwavutia akina gotze.
Ifike hatua mmkubaliane na ukweli kwamba you are no longer a big club, hakuna mchezaji mwenye jina kubwa anaetamani kuchezea timu yenu kwa sasa, Acheni kujipa false hope you looser
We unaniona dogo wakati mama ako ananiona mtu mzimaWee dogo ni kilazer wakupitiliza inaonekana umeanza kushabikia mpira mwaka juzi kama sio mwaka jana 2016. Unashindwa hata kutofautisha neno Team na neno Club? Tutolee ukilazer wako humu kabla hujapigwa ban
We unaniona dogo wakati mama ako ananiona mtu mzima
We unaniona dogo wakati mama ako ananiona mtu mzima
072 hizo timu ulizozitaja ni timu zenye mafanikio Sana England lakin kwa sasa hasa miaka ya karibuni Sio timu kubwa angalau kidogo Hata manure japo nae anakuja mliko nyie.
Endapo itaitishwa lokoo ya timu kubwa barani ulaya, timu pekee itakayosimama na kuitika toka England ni Chelsea peke yake kwa sasa, the rest mtaulizwa WHO? Spain ni madrid, barca na atlet, Italy ni juve endapo millan atainuka watamuuliza WHO ARE YOU?
Tofautisha Kati ya kuwa na mafanikio na kuwa timu kubwa, huwezi kuita timu ni kubwa wakati Hata usiku wa ulaya huonekani, miaka ya 80's Liverpool ndio ilikua timu kubwa England na ulaya kwa ujumla the rest is history, manure ni kuanzia 90's to 20's the rest is history lakin kwa sasa ni zamu ya Abromovic fc nae atafika Kipindi atawaachia wengine
Ahsante mkuu kwa kuja kuongeza nguvu. Vipi umepitia ile link aliyoweka Belo? Kwa maoni yangu kuna ukweli flani ibgawa ni maoni ya mwandishi.Hivi wewe umeshawahi angalau Kucheza Chandimu ili tujue ufahamu wako Katika Soka ni Upi?
Kwanza Ufahamu Wazi Kuwa Hakuna Hata Mchezaji Moja Duniani Mwenye Jina Kubwa Ambaye Chelsea ikawa ni timu ya Ndoto Yake!!!! Takriban Wachezaji Wote Wanaojiunga Na Chelsea basi si Kwasababu Ya Ukubwa Wake, bali ni All about money! Nothing else...... Wachezaji Wangapi Wenye Majina Wasiohadalika Na Hela Waliikataa Chelsea? Au umeshasahau Kina Robinho, Ronaldinho?
Hao Kina Hazard Wote Ndoto Zao Zipo Kwa Real Madrid na Barcelona na Wala si Chelsea! Bali Wameekwa Pale Chelsea Na Hela tu £200000+ per week.....
Kwahiyo Ni Aibu Kuisema Vibaya Milan na Ukasema Si Timu Kubwa bali Timu Kubwa ni Kigenge cha Chelsea.....
Kwa Kipi Ulichikifanya Hata Chelsea Ukamzidi Man U, Liverpool na Arsenal kwa Ukubwa??
Timu Hata Washabiki Haina ikisha Unaita Timu Kubwa?? Liverpool na Manchester Zina Matawi Dunia Nzima na Mabalozi Wanaowakilisha Matawi Hayo Waoi Dunia Nzima! Je Chelsea umewahi Kusikia ina Tawi Pahala popote?
Mashabiki wewenyewe Mumenunuliwa na Abramovic Kutoka Man U na Arsenal mwaka 2004 halafu timu ya Mashabiki Wa Kununua eti inajiita Timu Kubwa...!!!
Kwa Suala la Chelsea Kuwa Timu Kubwa Kwa Ngazi Ya Ulaya hilo Bado sana! Sahau hasa.......
Unatokwa povu Mi kumjibu huyo fungus wakati yeye kaingilia maongezi yangu na zeroseventytwo na kuniita Mi keilaza we ukaona Poa tu au Sio.Wacha Matusi Ya Kiholela Wewe! Wewe umeitwa Dogo Sasa Huyu MAMA kahusu Nini Hap?
Nipe categories angalau tano ya timu kuitwa timu kubwa.Hivi wewe umeshawahi angalau Kucheza Chandimu ili tujue ufahamu wako Katika Soka ni Upi?
Kwanza Ufahamu Wazi Kuwa Hakuna Hata Mchezaji Moja Duniani Mwenye Jina Kubwa Ambaye Chelsea ikawa ni timu ya Ndoto Yake!!!! Takriban Wachezaji Wote Wanaojiunga Na Chelsea basi si Kwasababu Ya Ukubwa Wake, bali ni All about money! Nothing else...... Wachezaji Wangapi Wenye Majina Wasiohadalika Na Hela Waliikataa Chelsea? Au umeshasahau Kina Robinho, Ronaldinho?
Hao Kina Hazard Wote Ndoto Zao Zipo Kwa Real Madrid na Barcelona na Wala si Chelsea! Bali Wameekwa Pale Chelsea Na Hela tu £200000+ per week.....
Kwahiyo Ni Aibu Kuisema Vibaya Milan na Ukasema Si Timu Kubwa bali Timu Kubwa ni Kigenge cha Chelsea.....
Kwa Kipi Ulichikifanya Hata Chelsea Ukamzidi Man U, Liverpool na Arsenal kwa Ukubwa??
Timu Hata Washabiki Haina ikisha Unaita Timu Kubwa?? Liverpool na Manchester Zina Matawi Dunia Nzima na Mabalozi Wanaowakilisha Matawi Hayo Waoi Dunia Nzima! Je Chelsea umewahi Kusikia ina Tawi Pahala popote?
Mashabiki wewenyewe Mumenunuliwa na Abramovic Kutoka Man U na Arsenal mwaka 2004 halafu timu ya Mashabiki Wa Kununua eti inajiita Timu Kubwa...!!!
Kwa Suala la Chelsea Kuwa Timu Kubwa Kwa Ngazi Ya Ulaya hilo Bado sana! Sahau hasa.......
Nipe categories angalau tano ya timu kuitwa timu kubwa.
Ahsante mkuu kwa kuja kuongeza nguvu. Vipi umepitia ile link aliyoweka Belo? Kwa maoni yangu kuna ukweli flani ibgawa ni maoni ya mwandishi.
Samahani mkuu..hivi Liverpool walishawahi kumsajili mchezaji mkubwa mwenye jina, au walisajili wachezaji wa kawaida kisha wakapatia majina huku Liverpool?Acheni kujidanganya nyie, Liverpool na bayern, juve, madrid wapi na wapi? Nyie kwa sasa hamna tofauti na Ajax, Milan, deportivo LA coruna hizo ndio level zenu, mnabebwa na historia na si kitu kingine.
Ibrahimovic, mkhitaryan, pogba, BFS, martial, wote hawa wamesajiliwa na man u wakati hawachezi champion league, wakati nyie mmeshindwa hata kuwavutia akina gotze.
Ifike hatua mmkubaliane na ukweli kwamba you are no longer a big club, hakuna mchezaji mwenye jina kubwa anaetamani kuchezea timu yenu kwa sasa, Acheni kujipa false hope you looser
Samahani mkuu..hivi Liverpool walishawahi kumsajili mchezaji mkubwa mwenye jina, au walisajili wachezaji wa kawaida kisha wakapatia majina huku Liverpool?
(Aulizaye,analo ajifunzalo)
Samahani mkuu..hivi Liverpool walishawahi kumsajili mchezaji mkubwa mwenye jina, au walisajili wachezaji wa kawaida kisha wakapatia majina huku Liverpool?
(Aulizaye,analo ajifunzalo)
Ningekuwa mwalimu wako ningekupa alama 0 kama aliyopata Bashite. Hujajibu swali. Okhondima yeye anakuuliza ni wachezaji gani Liverpool waliwasajili wakiwa na majina makubwa unakuja na ngonjera.Kuna sababu nyingi za Liverpool kushindwa kisign wachezaji wakubwa, (refer ishu ya Sanchez, gotze)
1.pesa hamna, nyie mnataka wale wachezaji wa watatu mia, ukinunua wanne unapewa na nyongeza mmoja
2.wage bill structure (mchezaji mkubwa anataka mshahara mkubwa)
3.eneo ambalo Liverpool ipo haimshawishi mchezaji kwenda kuweka makazi yake huko
4.kutokuwepo champions league na hamna matumaini ya kushiriki tena, angalau mngekua mnaonesha kupigana kurudi mngeweza washawishi
5.ukame wa makombe unaowakabili, mishahara midogo, makombe nayo hamna sasa mchezaji gani mkubwa atataka aje kupoteza talent yake hapa kisa historia ya mababu kitu ambacho hakina manufaa kwake.
HAKUNANingekuwa mwalimu wako ningekupa alama 0 kama aliyopata Bashite. Hujajibu swali. Okhondima yeye anakuuliza ni wachezaji gani Liverpool waliwasajili wakiwa na majina makubwa unakuja na ngonjera.