MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Uko vizuri sana pongezi
tunahitaji kuwekeza kwenye kiungo kama tunahitaji kuwa dominant team again.
Uko vizuri sana pongezi
I did not say he(Klopp) rates him.I said he likes him....his commitment.Hivyo vitu ni tofauti.Hendo is good in character...not good enough in playmaking.Sometimes coaches needs such characters....
Lovren is so shit, but man never hides when things get mess..nadhan unajua kuwa Klopp wanted kumpa ucaptain Lovren kabla ya msimu kuanza..i guess reaction ya fans ikamfanya ahairishe..
Kwan unavyoonaga anacheza vibaya huwa unajua klopp kamuelekeza kufanya nini uwanjani?Unajuaje Kama hatimizi majukumu Kama alivyoelekezwa? Tatizo letu tumezikariri namba zetu hizi za mchangani basi tunadhani na huko ni hivyo hivyo. namba 6 hiyo hiyo unaweza kuta inachezwa tofauti tofauti
Umenifanya nikaitafute hii pic against Everton ... truthfully huwa tukifunga goli wakati wa ushangiliaji huwa namtafuta kwanza Lovren.
Akifanyaga yale makosa yake ya kijinga huwa anajitahidi kuya-cover kwa kila hali na akifanikiwa huwa ana-passion moja good sana.
![]()
Haswaa..... mimi pale kikosini hendo na milner wakiwa uwanjan kikosi huwa sikiamini kabisa. ...Tangu lini England ikawa na kiungo wa kuongoza kikosi kikubwa kama cha Liver. ..eti captain msaidiz ni Milner ....waingreza banal. .!!!tunahitaji kuwekeza kwenye kiungo kama tunahitaji kuwa dominant team again.
Duuuh afadhari. ...sema Liverpool huwa kwenye ucaptain wanataka awe mzawa,,, sasa sijui kopp atabadil??...maana england haina kiungo wa kuibeba timu kubwa kama liver. ..Mkuu Wewe Ni Mwanasport! Hivi Huna Taarifa Kuwa Klopp Anatafuta Mbadala Wake (Defensive Midfielder)?
Hebu Jaribu Kuperuzi Official Website Ya Liverpool Kila Mara Uone Klopp Anavyotafuta Kiungo Wa Kumreplace Hende....
Sasa Unadhani Kama Anatimiza Majukumu Yake Kwanini Klopp Analia Na Kina Dahoud?
Mkuu Wewe Ni Mwanasport! Hivi Huna Taarifa Kuwa Klopp Anatafuta Mbadala Wake (Defensive Midfielder)?
Hebu Jaribu Kuperuzi Official Website Ya Liverpool Kila Mara Uone Klopp Anavyotafuta Kiungo Wa Kumreplace Hende....
Sasa Unadhani Kama Anatimiza Majukumu Yake Kwanini Klopp Analia Na Kina Dahoud?
Sijajua ni kwa nini klopp anashindwa kumwamini Lucas acheze kama central defender Ashirikiane Klavaran. Ki ukweli Lucas ni mzuri kuliko Lovren. Milner yeye kwa maoni yangu amefit kucheza nafasi anayocheza kwa sasa. Kwa pale epl mtu ambaye anacheza (wingback) upande wa kushoto na yupo juu kumzidi ni Dan Rose wa spurs na Marcos Alonso wa Chelsea. Mimi sijaona tatizo lolote kwa milner.Umenifanya nikaitafute hii pic against Everton ... truthfully huwa tukifunga goli wakati wa ushangiliaji huwa namtafuta kwanza Lovren.
Akifanyaga yale makosa yake ya kijinga huwa anajitahidi kuya-cover kwa kila hali na akifanikiwa huwa ana-passion moja good sana.
![]()
Liverpool ni mid table team kama zilivo everton, Southampton, spurs, stoke city ilikua timu kubwa zamani acheni kujidanganya na historia.Duuuh afadhari. ...sema Liverpool huwa kwenye ucaptain wanataka awe mzawa,,, sasa sijui kopp atabadil??...maana england haina kiungo wa kuibeba timu kubwa kama liver. ..
Liverpool ni mid table team kama zilivo everton, Southampton, spurs, stoke city ilikua timu kubwa zamani acheni kujidanganya na historia.
Teteteee zawadi yako iko hapo juu....Liverpool ni mid table team kama zilivo everton, Southampton, spurs, stoke city ilikua timu kubwa zamani acheni kujidanganya na historia.
Huyu amavi yuko vizuri sina pingamizi nae ni wale wale ma wing-back kama milner na clyne wanauwezo wa kupiga pass kushambulia kwa adui na kukaba kuanzia juu....kama akija huyu nauwakika ata fit