Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

M man city aliwachapa kwenu kwa sababu mourinho hakutaka kupaki basi ,utabisha bure ILA Liverpool,arsenal,totenham watawachapa kwenu easily Tu,labda mpaki basi na kwenu mbele ya mashabiki mtaambulia draw tena,game ya Jana man u waliperform watatu Tu de gea,baily,na herera.
 
mie sijachukizwa na Man U kuweka Bus, nilichochukizwa ni LFC kipindi cha kwanza tumeipoteza game na kipindi cha pili tumecheza ila nimechukia hatukutafuta njia nyengine ya kudumbukia, LFC hatukubadilisha game ya attack pasi nyingi nachosifu Man U wametusoma zaidi style kuliko sie kuwasoma. nimeona nilijochifunza ambacho nakiona sana LFC kama Arsenal ukiwaingia kwenye miguu umezuia ushindi wao, hapo ndipo timu mbili hizi zinatakiwa kubadilika kukaza mwili, so Bus sio baya ila ushinde 1-0 Je Morinho kakosea? kwangu hakukosea so Man U wakubali wameweka Bus kuliko kukataa. LFC wengi tulisema tatizo letu ni left back na DM ni kweli ukitizama Milner kafanya tatizo kupotea ila je akiumia? itakuwa ya Wijnaldum bora kati Emre Can yupo akipata games atakaa sawa je Leftback? ila timu nzuri sana tunachotakiwa ni kujia kila Game inakuja vipi na vipi utaikabiliana nayo ilibadilika uwanjani. Top 4 ipo na uhakika hame nyingi sana jana sikubaliani na Klopp kuhusu kupata point 1 naona tumepoteza.
 
this is very true,the only thing that the final results read 0-0 is because of de gea,...no de gea i thnk it was 3-0
 


Tofautisha kati ya defensive tacticts na kupark bus mkuu. Ni vitu viwili tofauti.

Simeone, Conte, Koeman, Jupp heynckes, Jorge Sampaoli etc, hawa wote ni defensive minded managers. Strength yao kubwa ipo katika kudefend, it means siri ya ushindi wao ni nidhamu katika kiungo, thats why when Conte alivyofika England kitu cha kwanza alichofanya ni kumnunua Kante, the same kwa Koeman ambaye alivyotoka southampton kwenda Everton, alihakikisha anam-nunua Gueye. This means, set up ya team zao ni kwenye kiungo, but huwez kuona hawa managers wakipark bus, na kupark bus siyo tacticts, huwez kuita hiyo ni mbinu ya mchezo, kuchezesha wachezaji 7-8 nyuma ya mpira, huyo siyo tactic bali ni "kupark bus"..chelsea walikuwa branded kama "wapark bus" kwasababu ya set-up ya Mourinho. But mara ya pili alivyorud Chelsea, hakuwa na hiyo falsafa ya kupark bus..japokuwa kuna baadhi ya games alicheza kwa aina hiyo, kwenye game yetu ya Anfield ambayo alitupiga 2-0..hakupark bus, he was just defending deep (kuna utofauti hapo). Ukiwa unadefend deep, it means unakuwa unaruhusu Wings zako zilete madhara kwa opponents pale unapopata mpira kutoka kwa adui. Mourinho hakuwa na falsafa ya kupark bus alivyorudi chelsea kwa mara ya pili, nakumbuka stats za kucreate chances zilikuwa zinawafavor chelsea, huwez kuwa na hizo stats kama unapark bus. Tangu Mou arudi England, na game zote alizocheza na LFC, ni ya jana tu ndo alipark bus. Na thats because alikuja Anfield kwa kutafuta draw, akiogopa kupoteza. Hiyo ni weak mentality. You cant be spending £200m na kuja Anfield kucheza kama West brom. Whats the use of having Pogba, Zlatan, MK na Rashford?

Mourinho left chelsea kwasababu alifail kufundisha Football. Last season chelsea had a bad season kuliko LFC but ukweli ni kwamba Chelsea walikuwa na kikosi kizuri kuliko LFC. Suala la kufail katika signings ni PR za kambi ya Mourinho. Conte mpaka anamchukua David Luiz alikuwa kazimiss targets zake zote 3 katika upande wa CB. Kwasasa anacheza Luiz-Cahill na humuoni akicomplain. Mourinho failed at chelsea coz he tried to play football, he tried to be Pep/Ancelotti. Kama unasema Mou bado anapark bus baadhi ya game, basi hiyo inamaanisha kwamba parking the bus imekuwa ni options tu kwake. Back in the days Mourinho parked the bus against the likes of West ham, Fulham etc

Again Mourinho failed at Madrid kwasababu ya falsafa yake. Just kwasababu Clubs zingine kuna wachezaji hawakuwa na balls za kumwambia ubovu wa falsafa, hiyo haiwez kuwafanya wachezaji wa team kubwa duniani kushindwa kumwambia, wanalipwa a lot of Money to play football, unapolimit game plan yao lazma waongee. And Perez hanaga Rafiki, Zidane akipotea games 3-4 anapigwa chini, Maisha yanaendelea.

Delle Ali, Lallana, Kyle Walker, Nolito, Mustafi, Koke, Rakitic etc failed to impress kwenye euros, but wanafanya vizuri kwenye clubs zao. Unapotoa £89m kwa mchezaji it means umeshaexcute game plan yake, na unataka a-add nini kwenye team yako, me labda nitakuwa kipofu but mpaka sasa sijaona role maalum ya Pogba kwenye team. We all know uwezo wa Pogba Mkuu. But he's failing. Gotta admit wachezaji wote mliosign summer, Bailly nilijua ataflop, be he's settling well. Kwann isiwe kwa one of the talented young players kama Pogba? Jibu ni kwamba you dont play him kulingana na strength yake. Mchezaji wa £89m unatakiwa ubuild a team around him, but Mou anafail kwenye hilo.
 
Touches in the opposition Penalty area.

Man City - 64
Nathan Redmond (southampton) - 12
Manchester United - 6
 

Its hard to excute a game plan pale ambapo opposition players 8-9 wapo nyuma ya mpira.
 
Halafu kuna watoto wa juzi wanakuja kupiga kelele huku eti Pogba ndo kaanzisha ku-dab..

Stew-peed 90's kids...

This is the real DABBING MVP..

 
Looserpool bana mnafurahisha kama kweli mlikuwa on fire mmekosaje hata goli moja?
 
Nkamu gwangu ndikusekela,Loli mukusekesya nukujoba kwinu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahahaha ndumego ole nnyakyosa?Jwani akumanyisye kosimba ekya kokaja?
Jobha everlenk omenye ndimba kenyakyosya!!
Sika syakumpangile bhibhi asatosye elaybahi!

Liverpool wanajua sana soka!!
 
Looserpool bana mnafurahisha kama kweli mlikuwa on fire mmekosaje hata goli moja?
hofu ilikuwa imewatawa manyumbu,unasemaje hawakuwa on fire wakati possession 65 kwa35?hatukufinga kwa vile mlipaki bus,hamtafika popote kwa staili yenu hiyo,Liverpool,totenham,arsenal,man city watawapiga kwenu kirahisi Sana kwa sababu hamtataka kupaki bus shame on you manyumbu fc
 
Looserfool siku hizi hawana tofauti na arsenal, mwanzoni mwa msimu maneno mengiiiii lakin nafasi yenu mwisho wa msimu hakuna asiyeijua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hakuna pakuweka [HASHTAG]#Bus[/HASHTAG] tunakwenda tu barabarakubwa aje Tony Pulis na timu yake LFC YNWA RedorDie!
 
Looserfool siku hizi hawana tofauti na arsenal, mwanzoni mwa msimu maneno mengiiiii lakin nafasi yenu mwisho wa msimu hakuna asiyeijua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wewe Nawe Umekuwa Muongeleaji Soka??
Hivi Umewahi Kuiona Liverpool ikaanza Na Kasi Kama Arsenal ikasha ikaishia Njiani??
Hebu eka Historia Hapa Ya Miaka 10 iliyopita Ya Liverpool Muda Kama Huu ilikuwa na Points Ngapi na inaishia Nafasi Ya Ngapi!!!!
Liverpool Mara Zote Katika Miaka 15 iliyopita inapotimiza Points 17 ndani ya Michezo 8 basi hukamata Nafasi Ya Pili...
Lakini Arsenal inapotimiza Points 18 kwenye Michezo 8 basi Huishia Kugombania Nafasi ya 4...

Acha Kuifananisha Liverpool na vitu vya kijinga....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…