Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Tunawatandika vigogo afu watoto wanatucharaza.... haka nadhani ni kalaana.
Tunaangusha Mbuyu, Tunashindwa na Mpapai
Tunawatandika vigogo afu watoto wanatucharaza.... haka nadhani ni kalaana.
tatizo alikuwa kachomekea jeziDaaah
Bao la wazi kabisa Cou anakosa
La wazi mno
Mkuu hapana gemu ya leo bahati imekuwa upande wao tu,kikosi kiko vizuri na jinsi matip alivyocheza mtu kama Lucas akipewa nafasi tunamaliza kazi huu msimu.Tottenham Hotspur miaka ya karibuni walikuwa ni wateja wetu wazuri tu...sasa naona wameanza kutuzidi!
nakubaliana na wewe kabisaaaaa hizi ndio game timu ukiondoka na point 3 ni very welldone ukiondoka na 1point away ni Good ndomana Burnley tulikasirika sana ni very Poor. 1-1 Away kwa Totenham nzuri ukitegemea silalamiki ila waamuzi wamechemsha.Points 3 za Burnley ndiyo zinaniuma siyo hizi za leo
Much improved Liverpool team
Tupo vyema sana sasa
Lovren na Matip combination nzuri
Points 4 kuzipata London sio easy jamani
Maamuzi hayakuwa upande wetunakubaliana na wewe kabisaaaaa hizi ndio game timu ukiondoka na point 3 ni very welldone ukiondoka na 1point away ni Good ndomana Burnley tulikasirika sana ni very Poor. 1-1 Away kwa Totenham nzuri ukitegemea silalamiki ila waamuzi wamechemsha.
Babu kwa ujanjwa wako wote yani umeangukia kws liver......Ngoja nirudi tena hapa nione kama mwaka huu ntakaa kwa muda hapa...
Naona vijana wameshatupiamo kamoja.
Ni kama tu nlivoangukia kwako. Mi nna mahaba na vitu vizuri mpenziBabu kwa ujanjwa wako wote yani umeangukia kws liver......
Dah ila uku kama umechemka hivi baby ake .......Ni kama tu nlivoangukia kwako. Mi nna mahaba na vitu vizuri mpenzi
Kuna rotation gani imefanyika mkuu?Na vile vile Sipendelewi Na Mfumo Wa Kuwafanyia Wachezaji [HASHTAG]#Rotation[/HASHTAG], Ni lazima Timu iwe na Fixed First XI, sio leo Huyu mechi hii akiboronga, Basi mechi ijayo Acheze Mwengine! Na yeye Akiboronga Mechi ijayo Acheze Mwengine!! Hapo Hatutakuwa na Timu ya Ushindani...