Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Our season is over .... naihofia Alhamisi usiku sijui kwanini
me 2 nishaihesabu its over tuangalie ya usajili tu, leo Sturidge kapiga dk 90 nimesema akicheza 90 na villareal hachezeshwi ndio itakuwa hivyo navyomjua Sturidge atamtafuta Dalali wake aondoke timu. kwenye muda Muhimu yatatokea matatizo kibao hii week.
 
me 2 nishaihesabu its over tuangalie ya usajili tu, leo Sturidge kapiga dk 90 nimesema akicheza 90 na villareal hachezeshwi ndio itakuwa hivyo navyomjua Sturidge atamtafuta Dalali wake aondoke timu. kwenye muda Muhimu yatatokea matatizo kibao hii week.
Na ile statement aliyoitoa juzi ST hahahaa ngoja tu tusubiri
 
Leo timu imecheza hovyo sana, motivation kama hakuna, wachezaji kibao wazito hata kutoa pasi imefikie mtu wanashindwa, wanapoteza mpira kirahisi utadhani sijui wamefungwa miguu. Kama hii mood isipochange naiona kabisa alhamisi inakuwa chungu pale Anfield.
 
Japo sikuwa na mzuka na hii mechi, lakini bado kufungwa kunauma tu!
Basi tusubiri maajabu Alhamisi...YNWA.
 
Acha tu morali ya leo ilikuwa very low kwenda kwenye game mnayotakiwa kushinda huku mmepoteza game kizembe kabisa ni hatari

Nadhani lengo la Klop ni kupigania Europa league cup, ndio maana aliamua kuipumzisha midfield. Lets see kama italeta matokeo mazuri Alhamis. YNWA
 
My wish Villarreal watakua na ari nzuri tyuu baada ya jana kumfunga valencia ugenini 0-2 hapo jana huku sisi tukisetwaaa 3-1
 
Congratulations to Leicester city to accomplish what was thought to be a taboo (fight for relegation the other season to epl winner this season).

Claudio Ranieri, after spending more than 20 years as a manager to some of elite clubs in Europe without winning a league medal now he has the chance to grasp epl medal.

Jamie Vardy (maji ya jioni) has something to make Stevie, Carra, Fowler, Redknapp to drool about so SAD.

Never say never, finally Ranieri has something to cheer up with

Sent from my K019 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom