Siye tupogo sanaaaaaaaa yaani tupogo tu.......halafu mtani siyo vizuri kuharibiana mudi wikiend yote hii........ usije sababisha kesho Magufuli akanifukuza bureeee ....
Klopp saying Coutinho will play J5 dhidi ya Southampton kwenye Cup game..
itakuwa vizuri kama hiyo siku coutinho, teix, wakacheza behind sturridge, henderson kwenye midfield
Itakuwa vizuri kama hiyo siku coutinho, teix, wakacheza behind sturridge, Henderson kwenye midfield
dammmmmmn, bonge moja la dreaaaaam.....hatariiiii
Hivi flanno anarudi lini?? Na yule kibonge wa kispain ameishia wapi?(enrique), i have missed flanno man marking nakumbuka debut yake king kenny akimwambia kashugulike na walcott tu pini aliyopigwa ilikuwa balaa
During BR tenure, alikuwa anamtumia vibaya clyne angalia sasa kazi anayopiga leo montero aliwekwa mfukoni na moreno damn that pace leo roufledge alipoa kabisa
Mi naona hizi game na timu ndogo JK anachofanya ni kukeep opponent's team star kama leo hatukuwa na performance nzuri ila Ayew, sigurdisson na montero walitulizwa vizuri they didn't see mych of the ball
Sema i'd rest Clyne and Moreno kwenye hiyo Cup game, jamaa wamecheza games nyingi sana, sana sana Clyne,
Randali is ready to step up, and Enrique yupo.
Narudi mdogomdogo shem.... nshakamata namba sita. Huwezi jua yatakayojiri mechi chache zilizosalia kwenye mzunguko wa kwanza.My kaka huwa anasema Win is Win ,hongereni wakuu
Malafyale Ed n Edd nEddy Pazi mak89 Asprin & Kaizer rudini tu jamvini siku hizi huku ni mwendo mdundo #AllLFCfans
G8 today at melwood