prober ze good
Senior Member
- Aug 14, 2014
- 163
- 181
Rogers hivi kweli unanifanya niache kufuatilia mpira? wakuu huwa ninasoma comment si mchangiaji sana humu ndani ila ni shabiki damu wa Liverpool tokea mwaka jana nilitamani kuacha ushabiki nimeshindwa naipenda liver ila huyu kocha sijawahi mkubali hamna namna akaondoka???
Pole. Karibu man u upate raha.😀😀
..haya, mara Balotelli hajitumi, etc. sijui leo Rodgers atajitetea nini?
Liver na Manu wapi na wapi?? Ni paka na panya, alafu kuna raha gani Manu kama sio unataka umuongezee mastress??
Njoo nikufariji mtani wangu......
Dooh!!! Hata Mimi unanistua jamani nisije nikakupoteza siku moja!!! Embu fanya maamuzi magumu LFC siyo baba wala mama bana!!!!!!!!
Kwani majogoo leo vepeeee...
Yamenyonyolewa everlenk ukuje kwenye msiba huku