Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kweli Liverpool miaka 3 hatujaongeza silverware yyt ile?Liverpool gani hii?

Nimesoma mahali Benitez kaamua kuondoka Napoli June 1.Aje Liverpool atupe CL maana najua Napoli anawaacha na Europa Cup mwaka huu

Kingine BR labda ana sura ya kutia huruma mno aiseee, maana nashangaa wapo Kopite wanaomtamani tu abakie
 
Kingine BR labda ana sura ya kutia huruma mno aiseee, maana nashangaa wapo Kopite wanaomtamani tu abakie

hawamtamani, wanamuonea huruma

polls zote zinasema aende, hi has less than 35% support... just google polls za liverpool and BR

Most of his media supporters ni waandishi wa habari wanaosapoti timu nyingine, they take a mickey out him and liverpool
 
hawamtamani, wanamuonea huruma

polls zote zinasema aende, hi has less than 35% support... just google polls za liverpool and BR

Most of his media supporters ni waandishi wa habari wanaosapoti timu nyingine, they take a mickey out him and liverpool

Basi ndio hao wanaoingia uko in less than 35% maana ukikutana nao still vichwa ngumu wakati wenzao tumeshachoka nae
 
Una maoni gani kuhusu iyo analysis ya Chris??

Yupo Right sana, kuhusu Transfer deals za LFC, tumekuwa wabovu sana katika upande wa "usajili" na policies zetu ndiyo zinatucost sana. Na kitu kingine kuzidi kuboronga kwa team yetu ndo kunafanya policy yetu izidi kuwa ngumu sana, zaman ilikuwa ni rahis kuwaconvice "promising World Class Players" (torres, Xabi, Masch, Agger, Arbeloa, Reina, Kuyt etc) coz tulikuwa tupo SAWA sana, lakin sahiv hata wachezaj kama Lacazzete, Jovetic, Pjanic, Kovacic, Etc tunaona kama ni NDOTO kuwapata, kwasababu team inazid kuboronga kila kitu, na Without UCL, last season kina Can, Moreno tungewaskia kwenye bomba.

BR and FSG wote wamefail, lakim BR kafail sehem zote mbili, uwanjan na Signings, game yetu na Hull city, nilikuwa sielewi tunacheza mfumo gani, karibia wachezaji wote kwenye kikosi hawachezeshwi kwenye number zao halali, mfano Can-RCB, GJ-LB, Hendo-RWB or RCM, Markovic-RWB (juzi kamuingiza dogo, akampeleka kucheza RB, talent ya huyu dogo ikipotea, ntamlaumu BR mpaka nakufa), Coutinho haelewek anacheza wapi CAM or AM, team haina Natural DM (akiumia Lucas, ndo basi), Lallana ndo huwa haelewi anacheza wapi maskini..hapa wa kulaumiwa ni BR, kwa anakuwa anaua sprit ya rythim ya team, wachezaj wanakuwa hawaelewani kabisa.

Na kitu kingine Ego inamuharibia sana jamaa, ndo maana senior players wengi wameondoka tangu reign yake ianze, callagher, Agger, Reina, SG anaondoka etc, wachezaji kama hawa itabid uwe nao kwenye team, na hii haihitaj exprience hata kidogo, Klopp kule dortmund yupo na kina Kelly mpaka leo hii, Martinez kaenda Everton kawakuta kina Osman, Distin etc lakin yupo nao mpaka leo, Wenger kamrudisha Flamin kwenye team, Mou baada ya Lampard kuondoka, akamrudisha Drogba, Stoke kuna kina Walters, westham kuna kina Collins, Nolan etc, Man utd, kwenye bench yupo Giggs, ndan yupo Carrick (na mmeona motivation ya carrick), asa umemtoa Agger, Reina, he was about kumtoa Lucas, unamtoa SG, GJ anaondoka, then unataka kumleta Milner ambae hajui tamaduni za LFC, hajui ina maana gani kuvaa the famous red jersey, ili aongeze experience, tumebak/tutabak na skrtel tu, kama Lucas akitaka kuondoka, sitaumia sana, coz kitendo cha Hendo kupewa u-vice Captain ahead of Skrtel and Lucas ni kuonyesha Ego tu za BR, no wonder Hendo kila baada ya game huwa anamtetea baba ake!! Hatutafika kokote na watu hawa!

Kuna reporter wa Germany, alisema itakuwa ni NGUMU sana kwa Klopp kuipiga Chini LFC kama ikimfata.
 
Na kitu kingine Ego inamuharibia sana jamaa.

Ni kweli kabisa ulichokichambua, kuna upande mmoja Kopite wengi wameona kama Chris anamtunzia BR kibarua chake anapoongelea swala sio kubadili manager, na hapo anapomtupia zigo Balotelli maana tulikua tuna uwezo kabisa hata wakutomleta uyu mtu na kutafuta striker but ajabu tukamleta, eti uku nyuma tukiwa na Lambert na Borini.
 
BR and FSG wote wamefail, lakim BR kafail sehem zote mbili, uwanjan na Signings, game yetu na Hull city, nilikuwa sielewi tunacheza mfumo gani, karibia wachezaji wote kwenye kikosi hawachezeshwi kwenye number zao halali, mfano Can-RCB, GJ-LB, Hendo-RWB or RCM, Markovic-RWB (juzi kamuingiza dogo, akampeleka kucheza RB, talent ya huyu dogo ikipotea, ntamlaumu BR mpaka nakufa), Coutinho haelewek anacheza wapi CAM or AM, team haina Natural DM (akiumia Lucas, ndo basi), Lallana ndo huwa haelewi anacheza wapi maskini..hapa wa kulaumiwa ni BR, kwa anakuwa anaua sprit ya rythim ya team, wachezaj wanakuwa hawaelewani kabisa.

.

Hii jeuri ya kupanga watu out of their positions sijui anaitolea wapi aisee
 
to me, Suarez was the manager last year... he drove the team, created chances, increased the speed of the team to match his expectations... No wonder we conceded too many goals because he wasn't a defender!!!

Thanks Vampire for being a player manager

Yaani kabisa, maana mwaka jana game kama ya WBA juzi na ya HuLL city, LS7 mechi hizi alikua akiokoa jahazi kwa kufunga hata kama hatuchezi poa
 
Hii jeuri ya kupanga watu out of their positions sijui anaitolea wapi aisee

Tatizo la BR huwa anapanik mapema sana!!! Na kitu kingine HAAMINI wachezaji wake (hasa wale wa Committee),

Kikosi chetu, kinalack vitu vidogo sana, lakin naona BR, kaishiwa ideas, asa katika upande wa mashambulizi.
 
Yaani kabisa, maana mwaka jana game kama ya WBA juzi na ya HuLL city, LS7 mechi hizi alikua akiokoa jahazi kwa kufunga hata kama hatuchezi poa

Mwaka jana HULL CITY alitupiga 3-1, pale pale kwao na Diaz akiwa ndani, Against WBA tulitoka nao 1-1 baada ya Kolo kumpasia Anichebe...

Last season, kama Diaz alikuwa akiamka vibaya, au mpira usiwe upande wake siku hiyo, tulikuwa tunapotea sana.
 
Mwaka jana HULL CITY alitupiga 3-1, pale pale kwao na Diaz akiwa ndani, Against WBA tulitoka nao 1-1 baada ya Kolo kumpasia Anichebe...

Last season, kama Diaz alikuwa akiamka vibaya, au mpira usiwe upande wake siku hiyo, tulikuwa tunapotea sana.
Yea, what i meant to say game za type iyo, but si game hizo. Yaani game ambazo mpira umegoma kama hizo juzi
 
Liverpool will not sell Raheem Sterling this summer even if he continues to turn down contract offers, says Brendan Rodgers

Liverpool will take a stand against Raheem Sterling this summer and won't sell him even if he does not sign a new contract.
Sterling and his advisor, Aidy Ward, told Liverpool last month they wanted to stop talks over a new deal until the campaign was over. The England international was offered new terms, worth about £100,000 a week, last October and by leaving the contract unsigned, he has lost out on more than £1.5million in salary.
When Sterling gave an interview to the BBC last month, he said he would assess his situation at the end of the season. But Liverpool have since tumbled out of contention for a top-four spot and lost in the FA Cup semi- final.
There will be renewed speculation and agitation about Sterling's future, with Manchester City, Chelsea and Arsenal monitoring his position, but manager Brendan Rodgers has made it clear that Liverpool have no intention of selling the 20-year-old.
Rodgers has headed off the threat of a transfer request being handed in. He revealed that he invited Sterling around to his house for talks, following a difficult personal period in which the player was pictured inhaling nitrous oxide and using a shisha pipe.

‘Raheem won't be going anywhere this summer, even if there's not a deal agreed. We've made that clear from the beginning,' said Rodgers, who will recall Steven Gerrard for today's game against QPR.
‘I think Raheem looks a lot more relaxed now than he has done for a while. We had a couple of good meetings. He came to the house and had a good chat on a personal level as well. It's not just about the football side, it's also about his welfare because he's still young and he's been through a lot in the last couple of years. So I talked to him generally and I think he's in a good place at the moment.'
Liverpool did something similar when Luis Suarez first agitated to leave in the summer of 2013 but Rodgers is relaxed about how the situation will unfold and added: ‘The club will meet up again with Raheem's representatives and we'll reinforce it (the message). Look, everyone wants to win trophies, everyone wants to play in the big competitions. But it's also important that you have the opportunity to do that. So we'll just be reinforcing our stance that's been in place all the way along - that this is the best club for him at this moment.'
Rodgers, meanwhile, is unclear whether Daniel Sturridge will need surgery to solve the hip problem that is likely to end his campaign. The England forward is in Boston seeing specialists attached to the Red Sox baseball team to determine the extent of the damage.
Fenway Sports Group, Liverpool's owners, made a big commitment to Sturridge last October when they handed him a new deal worth up to £150,000 a week. Rodgers admitted they are as anxious as he is to see the 25-year-old fit again.
‘They are showing their support, which we want to give all of our players by making sure they get the best possible treatment,' said Rodgers.
‘If there are specialists in other fields in different countries then we'll do everything we can to get players fit. The importance he has for us is pretty clear when he's fully fit.'




 
It looks like we have made an official offer to buy MEMPHIS DEPAY....who is valued at around £20 millions.....

source: James Pearce(Liverpool Echo)
 
20198_954332167933076_9123953176684162345_n.jpg
 
Fans unhappy with Brendan Rodgers' regime at Liverpool are set to fly a banner over Anfield this afternoon

1430571115892_lc_galleryImage__RodgersOut_https_twitter.JPG
 
Liverpool's XI: Mignolet, Johnson, Lovren, Skrtel, Can, Henderson, Gerrard, Coutinho, Sterling, Lallana, Lambert.



Substitutes: Ward, Toure, Moreno, Lucas, Allen, Ibe, Markovic.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom