Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

tz goals goals goal! Kama ww unapingana na watz ww mchawiiiiiiiii mungu bariki taifa star
 
uploadfromtaptalk1371382912529.jpgTanzania
Kaseje
Nyoni
Kapombe
Canavaro
Yondani
Damayo
Mwinyi
Sure boy
Ulimwengu
Samara
Kiemba

Ivory Coast
Barry
Bila
Zokora
Kalou
Yao
Gosso Gosso
Auriel
Traore
Yaya
Serey
Bamba
 
Taifa stars hureeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!! Tupo nyuma yenu wala msiwe na woga! Hao tembo ni wachumba tu mwaka huu! Tanzania gooooo! Go go go gooo! Tanzania gooooo go go go goooooooooo!!
 
Ninachoomba ni kitu kimoja UZALENDO. Wapenzi wa EPL, LA LIGA nk mjitokeze kuwazomea hawa wapopo kwa nguvu moja. Mambo ya kuwasifia na kuwashangilia wachezaji wa timu ya ulaya unayoipenda tuiache japo kwa dakika 90, sio vigumu kufanya hivyo. kama mtu unaweza kwenda masaa 3 bila kunywa maji unaweza kuwazomea kina Gervinho, Yaya na Kolo Toure na kuwashangilia kina Nyoni. TANZANIA ni yetu, TAIFA STARS chama letu. Come on guys!!!!!!

Dats wats sup brother pamoja sana! Tutahakikisha hawafungiiiiiii!
 
Local channel gan inaonyesha mpira?nasi wa karagwe tuone?
 
Local channel gan inaonyesha mpira?nasi wa karagwe tuone?
 
Sasa ole wako tushinde (Tstar) arafu ujifanye una shangilia. Endelea hivyo hivyo kua mtumwa wa fikra. Baba yako baba yako tu hata akiwa mlevi, na asie wako si wako tu hata akiwa msomi.

natamani nikutukane makore ila basi.
 
Back
Top Bottom