John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
Kiemba kapiga goli?
Jamani mm niko nje ya nchi hivisasa nina mwezi mmoja TBC siipati. Kwahiyo naomba muni saidie njia gani ni tumie ili niweze kuuona huu mchezo?
Tujulishe yanayoendelea Mkuu, saa 9 ndo hiyo inaelekea kuwadia.
mpira hauishi tuuuu!
haya ndo matatizo ya mtoto wa kiume kupumuliwa mgongoni, huna ata aibu ya utaifa wako