Mabeki wa Azam hawana match fitness,ndo wanaotoa penalti.Timu yetu imetoa penati mbili katika mechi mbili za mfulululizo hilo nalo inatakiwa tujadili
Mabeki wa Azam hawana match fitness,ndo wanaotoa penalti.Timu yetu imetoa penati mbili katika mechi mbili za mfulululizo hilo nalo inatakiwa tujadili
Sub pia hazikuwa za kitaalam,kumtoa Kapombe na Kazimoto na kuingiza wahambuliaji,Mcha na Boko iliiua kabisa midfield ya Stars,kwani Chuji hakuwepo?Kaseja nae anakosea kujipanga na kuipanga ngome yake...
Acha kukurupuka na mambo usiyoyaelewa, soccer linawenyewe na wewe si mmojan wao. Sasa kiko wapi kilichokufanya ukaleta kashfa. Kulambwa mmelambwa tena 4-2, uongo? Think big na siyo kutegemea mambo bahati nasibu..! They invested and we did not..!Ficha Upumbavu wako, Usiifiche HEKIMA yako mkuu...
Acha kiherehere cha kuku wa kienyeji. Soccer lina wenyewe na wewe si mmoja wao. Sasa kiko wapi kilichokufanya ukamsupport huyo mbulula kunikashfu. Kulambwa mmelambwa tena 4-2, uongo? Think big na siyo kutegemea mambo bahati nasibu..! They invested and we did not..!anajiita Kifarutz achana nae Balantanda