mvuvihodari
Member
- Feb 16, 2013
- 92
- 12
Leo mende anaangusha kabati!!!!itawezekana wadau?
tuko msibani bana hili litimu lifungwe tu kwanza hakuna kinachoendea kila siku kucheza mpira wa mdomoni bila vitendo.. Nataka leo taifa mwezi wapige 5 bila hakuna haja ya kuwaita tena taifa star hawalingani kabisa na jina lenyewe
God be with us. Tanzania 2:0 Ivory Coast !
ntakuwa orange sit natarumbeta langu natoa sapoti kwa starz ndio kilichobaki..
#TZBrazil2014 go go go staz..
Kama Lulu anaweza kumbeba captain Komba kwanini Stars tushindwe kuwafunga Ivory Coast? hamna lisilowezekana
Taifa stars funga hao kinana twende zetu brazil
Hapa sijaelewa, Taifa stars najuwa wanacheza na Ivory Coast, sasa Kinana anaingiake hapa?
Mkuu pole sana kwa msiba.