I love you IVORY COAST...GOD bless you....ELLEPHANTS
haya ndo matatizo ya mtoto wa kiume kupumuliwa mgongoni, huna ata aibu ya utaifa wako
I love you IVORY COAST...GOD bless you....ELLEPHANTS
izz,nifahamishe vizuri nimkubali chuji
I love you IVORY COAST...GOD bless you....ELLEPHANTS
mpira saangapi wakuu?
Kama Lulu anaweza kumbeba captain Komba kwanini Stars tushindwe kuwafunga Ivory Coast? hamna lisilowezekana
Kama kawaida mkuu. CC ManditaWAKUU,kwa mara nyingine tena leo Taifa Stars inaingia uwanjani kukabiliana na Tembo wa Ivory Cost,tunahitaji kuishangilia timu yetu ili kushinda mchezo huo,nawaalika wadau wote wa JF Sports tujumuike humu kuleta mpmbanao huo moja kw amoja kutoka uwanja wa Taifa,kwa wale watakaokuwepo uwanjani.
Mimi nitakuwepo,Makoye Matale,Idawa,na wengineo Mtakuwepooooooooooooooooo?!