Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Huyo Yaya Toure pa1 na wao kutufunga kwao lkn alilala na viatu mbele ya Domayo na Sureboy Chuji wa nn huyo badae sana.
 
Asante sana kaka lakini usikae mbali na vitu kama kahawa au Glucose. Makoye
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kaka lakini usikae mbali na vitu kama kahawa au Glucose ili kupunguza Presha.. Makoye
 
Last edited by a moderator:
Kwa vile timu ya Ivory coast wanajiita pembe za ndovu timu yetu safu ya mashambulizi wangempa namba Kinana.
 
KUmbuka ata Daudi alimpiga Goliati regardless ya miguvu yake!
 
oin Date : 31st May 2013Posts : 11
Rep Power : 305
Likes Received0
Likes Given0
KARIBU JF
 
Ninachoomba ni kitu kimoja UZALENDO. Wapenzi wa EPL, LA LIGA nk mjitokeze kuwazomea hawa wapopo kwa nguvu moja. Mambo ya kuwasifia na kuwashangilia wachezaji wa timu ya ulaya unayoipenda tuiache japo kwa dakika 90, sio vigumu kufanya hivyo. kama mtu unaweza kwenda masaa 3 bila kunywa maji unaweza kuwazomea kina Gervinho, Yaya na Kolo Toure na kuwashangilia kina Nyoni. TANZANIA ni yetu, TAIFA STARS chama letu. Come on guys!!!!!!
 
Haya ni maajabu yaani Dira yangu inaonyesha kuwa tunashinda
Goli 4
 
Supersport wataonesha hii mechi, nipo tayari ndani uwanjani, na OB Van yao ime-pack eneo la nje kaskazini mwa uwanja tayari kukuletea matangazo haya wewe ulieko nyumbani.

Naona crew yao imeanza kurecord matukio ya awali.

Timu zote ziko uwanjani kupasha misuli moto!

Kila la heri Tanzania!
 
Back
Top Bottom