Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Leo Kiungo wamecheza vizuri sana, tatizo lilikuwa na umaliziaji pamoja na udhaifu wa beki yetu, hata hivyo tulicheza na timu ya kiwango cha dunia.
 
Ngoja tupate katiba mpya timu ya Tanganyika lazima iende world cup 2018. Hawa watoto wanacheza mpira mzuri lakini tatizo walipata mikosi walipoenda kushikana mikono na Kikwete.
 
HAPA KWETU PWANI TUNASEMA NDUGU ZETU WA KULE KISIWANI WANGESEMA CHENGA TWAWALAAAAAA ILA KUFUNGWA TWAFUNGWAAAA! na WALE JAMAA ZETU WA BARA WANASEMA IMELALAGA HIYO!
 
umakini wa wachezaji pia umetuangusha, anyway we are out!!
 
kiukweli vijana wamejitahidi!by the way,lets build on this team.we are on the right truck.
 
wametufunga lakini chenga tumewala. safi sana taifa star. mia
 
kaseja sio kipa namba moja tena. hana mipango ya kulinga himaya yake. mia
 
Tusijali tujipange sasa mwaka 2018 tukashiriki world cup
 
Ficha Upumbavu wako, Usiifiche HEKIMA yako mkuu...
Upumbavu upo wapi? Kabla ya mechi nilisema tutafungwa coz kwenye mambo ya msingi wenzetu wapo serious zaidi yetu..! Tatizo letu ni ubishi na kutokukubali ukweli..! Naona wewe ni katika wale mnaoamini mafanikio yanakuja kwa kupiga porojo..!
 
Pamoja na kutolewa kwenye mashindano, hakika tumepigana kiume; hongera Taifa Stars, hongera sana Watanzania.
 
Hivi baba riz1 alikuwepo? kama alikuwepo basi tumefungwa machache. Sikumbuki kama tumewahi kushinda akiwepo. Full kuchapwa. Haya turudi kwenye habari ya mjini ambapo watz waliuawa kwa bomu A-cty jana!
 
Tatizo hii mechi imerushwa na TBC kama ingerushwa na chanell
zingine tungeshinda au kutoa sare. Hawa jamaa aah naogopa
kusema hii TV imelaaniwa.
 
Back
Top Bottom