Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

tumejitahidi, tunahitaji more pros! Impact ya ulimwengu na samagoal nimeifurahia, tatizo la timu yetu ni la kisaikolojia zaid! Otherwise tunaweza!
 
tumejitahidi, tunahitaji more pros! Impact ya ulimwengu na samagoal nimeifurahia, tatizo la timu yetu ni la kisaikolojia zaid! Otherwise tunaweza!

words dude ila hatujaribu tu..
 
Jamani mbona tv yangu inaonyesha matokeo ni 6-3 stars inaongoza.....aah,kumbe dogo anacheza video game kwi kwii!
 
Tumecheza vizuri na vijana wamejituma saana! Wamecheza kwa nguvu zao zoote. Si vizuri mtu akaja hapa kuropoka na kutoa lawama wakati akirushiwa mpira hata danadana 2 hawezi kupiga. Big up Stars!
 
Tumecheza vizuri na vijana wamejituma saana! Wamecheza kwa nguvu zao zoote. Si vizuri mtu akaja hapa kuropoka na kutoa lawama wakati akirushiwa mpira hata danadana 2 hawezi kupiga. Big up Stars!

Acha mawazo ya kimbugwe yaliyopitwa na wakati. Huyo mtu unayetaka arushiwe mpira kwani ndio kazi yake? Ukiwa kwenye fani unapimwa na wenzako walio kwenye fani ya aina ile na sio vingine. BTW kama wamejituma mbona hawajafanikiwa kuendelea mbele. Lengo la mpira ni kushinda na si kujituma!
 
kudadeki chaliiiiiiiiii hii ni laana ya milele chanzo nadhani kipo wazi...green is our enemy
 
Eti huwa wanatulazimisha tuwaombee Mungu, kama vile timu nyingine hazina Mungu.
Nimefurahi sana, kwani ushindi ungetumiwa vibaya 2015.
 
tumejitahidi, tunahitaji more pros! Impact ya ulimwengu na samagoal nimeifurahia, tatizo la timu yetu ni la kisaikolojia zaid! Otherwise tunaweza!

hapo kwa red ni kweli kabisa mkuu!
 
Timu yetu imeonyesha kiwango kizuri. Ila mwalimu anatakiwa atafute goalkeaper mwingine. Enzi za kaseja zimeshayoyoma. Nimeshangazwa sana na utaratibu mbovu wa kuingia na kutoka kiwanjani leo. Tff na serikali inabidi wawe makini zaidi katika hili. Ni hatari kubwa sana kulazimisha watu 60,000 Kupita katika lango moja kwa wakati mmoja. Tunatafuta ajali za kipuuzi. Mwisho, serikali inatakiwa kutazama upya mpango na matumizi ya maeneo yanayozunguka uwanja wa taifa. Baada ya kuwekeza kwa kiasi kikubwa hivyo katika lile eneo, ni vyema sasa tukaaamua kulifanya kuwa kitovu cha michezo cha hii nchi. Pawe na barabara za hadhi yake, pawe na maduka makubwa ya vifaa vya michezo. Pawe na chuo/shule ya michezo, pawe na hoteli/hostel za michezo. Hata ikibidi kulipa fidia stahiki kwa wamiliki wa viwanja husika ni bora sasa kuliko baadae.
 
[h=5]Dah staki kuamini kama tumeshindwa kumchinja tembo wakati tuliweza kumuweka twiga kwenye ndege dah haya masihara but nyc game[/h]
 
tumejitahidi, tunahitaji more pros! Impact ya ulimwengu na samagoal nimeifurahia, tatizo la timu yetu ni la kisaikolojia zaid! Otherwise tunaweza!

Kwakweli tatizo ndo hilo. Jamaa walikuwa hawana determination ya kupenya ngome. Wa Ivory coast walikuwa ni wakubwa, lakini ukiangalia pale stars walijiamini na kupenya kwa nguvu ndani ya kumi na nane beki ya iovry coast ili weweseka. Leo kwa kweli ilitakiwa waoneshe determination the whole game. Hasa beki yetu, hawa wasiliani na kipa vizuri.
 
attachment.php
 
Hakika inauma sana kufa kifo cha aina moja kila wakati!

Ni vema hii changamoto ya kushindwa ku-qualify tukaichukulia kwa umakini hasa kuwekeza kwa vijana ambao ndio msingi wa soka la ushindani la muda wote.

Tumeshindwa ndio, hatuna budi kukubali matokea halafu tujipange upya kwa ajili ya AFCON.
 
Mungu kwenye mambo ya mpira hayupo kabisaaa. na kama mtu anamuomba ili ashinde anajisumbua kwani timu zote zinazocheza ni za kwake na mojawapo kati ya sifa za Mungu ni kutokuwa na upendeleo
 
Timu yetu imeonyesha kiwango kizuri. Ila mwalimu anatakiwa atafute goalkeaper mwingine. Enzi za kaseja zimeshayoyoma. Nimeshangazwa sana na utaratibu mbovu wa kuingia na kutoka kiwanjani leo. Tff na serikali inabidi wawe makini zaidi katika hili. Ni hatari kubwa sana kulazimisha watu 60,000 Kupita katika lango moja kwa wakati mmoja. Tunatafuta ajali za kipuuzi. Mwisho, serikali inatakiwa kutazama upya mpango na matumizi ya maeneo yanayozunguka uwanja wa taifa. Baada ya kuwekeza kwa kiasi kikubwa hivyo katika lile eneo, ni vyema sasa tukaaamua kulifanya kuwa kitovu cha michezo cha hii nchi. Pawe na barabara za hadhi yake, pawe na maduka makubwa ya vifaa vya michezo. Pawe na chuo/shule ya michezo, pawe na hoteli/hostel za michezo. Hata ikibidi kulipa fidia stahiki kwa wamiliki wa viwanja husika ni bora sasa kuliko baadae.

Hilo la kuingia na mimi niliona, ilikuwa hatari hadi nikaogopa!

Yaani kulikuwa na kubinyana na kusukumana kusikokuwa na ulazima. Kungeweza kutokea balaa kubwa sana pale maana na askari walikuwepo wachache sana pale mlango wa kuingilia wengi walijazana ndani kule!

TFF na wizara husika waweke mipango mizuri pale uwanjani la sivyo kuna siku yatatokea maafa makubwa makubwa! Sehemu yenye watu 60,000 kuwa na wale askari waliokuwepo pale ni hatari na niliona watua wamebeba watoto wadogo wanaingia nao uwanjani kwenye mazingira ya shida saana!!
 
Timu yetu imetoa penati mbili katika mechi mbili za mfulululizo hilo nalo inatakiwa tujadili
 
Back
Top Bottom