Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

Jaman mbona tunashambuliwa sana??au me kwakua naskiza redio?

Sofa mechi imebalance...Tunawashambulia nao wanatushambulia...Tuna tatizo kwenye umaliziaji....

Tumewakosa magoli mawili ya wazi na wametukosa...

Safi sana Yondani.......
 
Kaseja anajitahidi sana....Tunashambulia sasa....

Ulimwenguuuuuuuuuuuuuuu........What a cross....

Mbwana Samatta na Kiemba wanachellewa
 
Ile ilikuwa break-away nzuri lakini kama Bantalanda unavyosema hakuna mmaliziaji mzuri.
 
Kwa kipindi hiki cha 2 tumewakosa magoli matatu ya wazi kabisa....
 
Sofa mechi imebalance...Tunawashambulia nao wanatushambulia...Tuna tatizo kwenye umaliziaji....

Tumewakosa magoli mawili ya wazi na wametukosa...

Safi sana Yondani.......

namsikia mtangazaj anasema wanakosa mabao ya wazi,,,free header,wafundishwe kupiga vichwa vya akina Kluivert ,,,,
 
Amri Kiemba ni FUNDI hasa....

Gervinho anao anao nyingi kweli......Anatafuta chance ya kujiangusha ili wapate penalty kama ya kwanza
 
Kwa kweli sijawahi kuiona beki ya TS inajipanga kama hii ni safi sana.
 
Mwinyi Kazimoto anapiga shuti hafifu badala ya kutoa pasi kwa Samatta.....
 
Good try Kazimoto amejaribu kwa mbali na kama wakiwa wanafanya hivi mara kwa mara tutapata goli.
 
Vijana wanajitahidi kwa kweli......Hawa comentators wa TBC hovyo kweli.......AIBU
 
Back
Top Bottom