Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,320
Binafsi namkubali Dr. Slaa, lakini wapenzi, washabiki na wanachama wa CHADEMA watambue inahitajika mipango na mikakati thabiti ili ndoto ya URAIS 2015 itimie,vinginevyo yatatokea yaliyomkuta LAILA ODINGA. Kila mmoja atimize wajibu wake.