Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

attachment.php
 
Dr w ukweli kwa kuapika pambaja wanaume wenzako tunaomba udhamini uhai wa wananchi wa morogoro usijewatoa uhai kama kawaida yenu wazee wa kafara.
 
Makamanda na ukombozi makada na ujangili. Viva CHADEMA aluta continua.
 
Dr w ukweli kwa kuapika pambaja wanaume wenzako tunaomba udhamini uhai wa wananchi wa morogoro usijewatoa uhai kama kawaida yenu wazee wa kafara.

amekusikia mliberali a.k.a mzee wwa buku saba.. polesana.. utatupwa kama mipira ya kiume.. unaijua sisiemu unaisikia unawajua wenye nayo.... piga kelele tu hata ubalozi wa nyumba kumi hawatakupa unawashambikia wakati ndugu zako hawajui kusoma wala kuandika.. na wengine kule kijijini kwenu hawana hata 1000 ya kula kwa siku milo mitatu...
 
Ukombozi ni lazima hasa watu wanapouhitaji, nataman 2015 iwe kesho tuwaoneshe ccmafisadi tulivyowachoka, matatizo ya taifa letu ya umasikini,udini,elimu mbovu,nk wamesababisha wao, viva chadema viva ukomboz wa taifa. mimi ccmafisadi sidanganyiki tena
 
dr w ukweli kwa kuapika pambaja wanaume wenzako tunaomba udhamini uhai wa wananchi wa morogoro usijewatoa uhai kama kawaida yenu wazee wa kafara.

mzee wa kutoa kabang hapo katika red umeandika nini
au ndio tayari unatoa service ya ulesibiani hapo umeshikishwa ukuta... Na nepi mwandosya...
 
Ndivyo ambavyo hali ilivyo na inaendelea kubadilika kwa wingi wa watu,wenye midomo oooooh CDM Moro haina wadau tizameni sasa


Naona uwanja kama hautoshi mkuu LAU.. AU UNASEMAJE??
NAONA MAGAMBA WANAUGUA CHADEMAPHOBIA SASA....

LUMUBA HAPO TULIENI DAWA IINGIE.... OHHH CDM HAKUNA MORO.. SHERUI MWIZI WA MAJINA UPOO?? MSALIMIE MPAKA MAPODA MWAMAKOTONI NA DEMU WAKO JULIANA WAKUFYOZWA..A.K.A KISHITOBE
 
tumuombee huyo jamaa asife ili aone muziki wa cdm 2015,.....
Lumumba hapo nasikia wanafunga milango sasa wanakimbia... Nape anawaambia leo hawalipi buku 7 coz walimwambia leo moro cdm inadoda... Badala yake hawaamini wanachokiona... Na bado...
Majambazi ya ccm yakiongozwa na kikwete roho zinawadunda kama watafika 2015
salama....


Ni kweli mkuu, taarifa niliyo nayo jamaa anapumulia mashine, mwaka huu watakufa wengi tu kwa presha 2015 ndo hasa
 
Duuuh, kweli nimeamini chadema ni balaa, kwa jinsi ninavyoujua mji wa moro, kwa kujaza hiviii, kweli chadema ni kiboko!!!
 
Heche ndo anamaliza hotuba yake, sasa anatamka kumkaribisha Dr. Slaa
 
Waliberali mpo? Watu wa HAKI SAWA KWA .................

Hahaaaaa Mkuu, waliberali wamekimbia lumumba hapo... sasa hivi wapo katika hili kundi kama guest....24 members and 92 guests)

wanabip mziki wa CDM.. WANADHANI CDM NI KAMA KILE CHAMA CHA WALIBERALI WAKATI ULEE 2005, NA 1995..

LAZIMA WAKAE.. NA HAPO HAKUNA CHA MSANII WA AINA YOYOTE.. WALA HAKUNA UBWABWA WALA KHANGA WALA BUKU 5.. WALA MALORI...... R.I.P LUMUMBA TEAM....
 
mzee wa kutoa kabang hapo katika red umeandika nini
au ndio tayari unatoa service ya ulesibiani hapo umeshikishwa ukuta... Na nepi mwandosya...

Bora mtu akafanya ulebali kuliko wizi wa mke wa mtu huku ukijifanya padri. Kumpiga pambaja mwanaume mwenzako haikubaliki.
 
Back
Top Bottom