LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Serikali yao imewafanya wakose cha kuongea.
Hakuna inachofanya zaidi ya kula goodtime na kulala.
Matokeo yake kina nape wanaishia kuiongelea Chadema
 
Ama kweli kwa manispaa kama ya morogoro kuwa na watu wasiozidi mia mbili ni aibu,wamechoka,wasiendelee kung'ang'ania madaraka ya nchi yetu,tuwaepuke kama ukoma

Ebu jazia nyama kidogo kwenye 'uzi' wako! Taarifa yako ni fupi mno mkuu prof.mutunga.
Ikiwezekana weka picha.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu matatizo yako ya shule bado hayajaisha, jihadhari usijiingize kwenye siasa mpaka umalize kufuatilia course work yako. CCM hawaaminiki, wanaweza kutia sumu kwenye progress ya suala lako ionekane wewe ndiye uliyejilengesha kwa lecturer.

Duuuuh.....yataisha mkuu.Wanaboa bhana wkt mwingine
 
Katiba iliyopo imefanyiwa marekebisho mara 14 na ilikuwa ni ndani ya chama kimoja
 
TBC inaonyesha 'Live' Aliye karibu na TV atupiemo mimacho hapo. Nimemsikia Nepi anasema ' msidanganyike na wanasiasa UCHWARA' akaendelea 'walikuja hapa Morogoro watu wakafa' pata picha uki-relate mlolongo mzima wa mauaji yaliyotokea na utekaji unaoendelea kutokea, wewe kama GT unapata picha gani hapo?
Muuaji, mtekaji ni huyohuyo kwa kisingizio cha kwamba fulani ndiyo anafanya mauaji sasa wanakuja kupanda majukwaani kuwaeleza wanaouwa watu ni wanasiasa wa Vyama vya UPINZANI(not only Upinzani, ni CHADEMA).
All of CCM are HOPELESS. Hamna chochote wanachowaambia wananchi zaidi ya kuiongelea CHADEMA.

Mi sijaona alichokiongea Nepi zaidi kujamba jamba halafu baadae ataibukia facebook au JF
 
Sijui kuhusu CUF lakini chadema walishasema wamesusa na hawataki TBC itangaze habari zao.
 
kuonyesha jinsi TBC inavyokufa na CCM ni ubora wa chini wa matangazo duni ya mkutano wa CCM Moro.wanakatika hovyo.ubora ni wachini km mkutano wa CCM ukiongozwa na Nape.
 
TBC inaonyesha 'Live' Aliye karibu na TV atupiemo mimacho hapo. Nimemsikia Nepi anasema ' msidanganyike na wanasiasa UCHWARA' akaendelea 'walikuja hapa Morogoro watu wakafa' pata picha uki-relate mlolongo mzima wa mauaji yaliyotokea na utekaji unaoendelea kutokea, wewe kama GT unapata picha gani hapo?
Muuaji, mtekaji ni huyohuyo kwa kisingizio cha kwamba fulani ndiyo anafanya mauaji sasa wanakuja kupanda majukwaani kuwaeleza wanaouwa watu ni wanasiasa wa Vyama vya UPINZANI(not only Upinzani, ni CHADEMA).
All of CCM are HOPELESS. Hamna chochote wanachowaambia wananchi zaidi ya kuiongelea CHADEMA.

Ghafla upepo wa kisiasa nchini umebadilika na mambo mawili makubwa yamedhihirika:-

(i) UTEKAJI, UTESAJI, UUWAJI: Ni kama imeshathibitishwa nani mhusika mkuu wa haya matukio. Hilo halina shida na wananchi walio wengi wamelielewa somo vizuri sana. Wanasiasa chwara waache tamthilia zao zisizo na mashiko.

(ii) UDINI: Ha ha ha! Walidhani wamewaweza kumbe wamepatikana wao. Tusipojifunza kufanya siasa za kistaarabu sijui huko tuendako itakuwaje. Ukiona hadi Mkuu wa nchi anaingizwa kwenye tuhuma kama hizi tena mbele ya chombo cha maamuzi ya nchi kama Bunge basi wenye akili lazima washtuke. Ukizusha jambo usidhani ni wewe tu mwenye mdomo; wengine watatumia midomo yao hiyo hiyo kufanya hayo hayo. La msingi, nani mwenye busara aliyebaki? Simwoni!
 
mbona ha2waoni hao wa2 mia 8?? C wa2oneshe sasa?izo propaganda 2!
 
Kwa Uungwana wa kikwete, aliwakaribisha ikulu kutoa maoni yao baada ya kuwa wametoka bungeni
 
Chadema wameahidi kuiingiza nchi kwny machafuko

ivi wew mbona hauna akili?? Akili za kuambiwa umechanganya na zako ndo ukaamua kuandika ushenzi huu? Sasa cdm wana power gan? Kwan wanamiliki dola?
 
Katika vifungu vilivyokubaliwa kurekebishwa ni kuwaondoa wanasiasa kwenye mchakato wa katiba.
 
Back
Top Bottom