LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Kwa kweli CHADEMA inawashika sana. Kila kinachoongelewa ni CHADEMA, na kujaribu kuonyesha uhalali wa CCM. Noma kweli kweli
 
Ila cha ajabu lazima walete watu kwa mabasi na toyo na kuwalipa pia lakini hawana nyomi
 
Kwani leo wanapambanishwa na chadema?? Mbona comparison zimekua nyingi!!!
 
tupo tumemfuata platinum sio ccm maana atujui lengo na kinana na nape sasa mimi najiuliza aya wamekuja maisha yatu yatakuwa nafuu vp bei ya vyakula vp afya vp kilimo awa watatumia kodi zetu kuzulula mikoani tucwakubali wamekuja kutupumbaza ngurue wakubwa awa
 
Naona
hata waliokusanyika kwenye mkutano ni km wamelazimishwa,maana
wanalazimishwa kuitikia salamu za chama yaani hii ni aibu,chama
hakiko mioyoni mwa watu.
 
Watu wa morogoro wajiandae kula wali na pilau, maana ccm moro ni ya waarabu koko na mafisadi wengine! Mtoto wa nnauye anazidi kuvimba wakati wananchi wanakonda!
 
Aliyetukana ni nani? au Tv yako king'amuzi kinakamata Billicana club? maaba huko ndo chuo cha matusi . ww vp?
 
Kwenye heading yako ungeondoa maneno haya»HIVI,MKUTANO,CCM!! Linalobaki ndiyo jibu sahihi.
 
Kwani mimi msukule kama wewe, ni misukule tu wanaotakiwa kuleta upfates za DJ hapa

Pamoja na utu uzima,kupata exposure japo elimu hauna ya kutosha bado umeendelea kua mwepesi wa mawazo tu na kuendelea kusadiki mambo ya misukule!!aibu sana!sasa exposure uliyopata inakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom