LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Katika mitaa 275 iliyopo mkoani morogoro ni mitaa 13 inayoongozwa na upinzani, mingine yote ipo chini ya ccm
 
jaman mi nilikua kwenye kimkutano chao,nimeamua kuondoka kwa sababu mbili 1.wamejaa watoto 75% 2. kila atakayepanda jukwaani anataja CHADEMA tu! mpsssssss!
 
nyomi huletwa na wasanii
CHADEMA hawaiti wasanii lkn wanancho hujtokeza wenyewe
bila wasanii kutumuimba CCM wangeaibika
 
Chama cha CUF wakati mimba yake inaingia nimeiona. Seif Khatibu
 
Mohamed Seif anawachaa sana CUF anasema CCM imewapa Mimba CUF, safi sana CUF wakome
 
hawa jamaa kweli wako addictive na matusi, Kuna muongeaji wao anasema aliewapiga mimba CUF anamjua na kitanda mimba ilipoingilia anakijua
 
Anawataka watanzania wasikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia kwa kudanganywa na wapinzani
 
CCM na watoto wa TANU N ASP...Chadema mwisho Chumbi,hata Zanzibar hawakijui!Seif kasema watu wa Zenji wanaijua CUF....SEIF anaijua CUF,Hata mimba yake anaijua,chama kinapgnga Mapinduzi si chama,hakitaki Muungano!cuf knawachukua kama Wapagazi wabara ili kubeba mzgo wa Watwana!
 
wananchi walio wengi wamekuja kuwashangaa hao wasanii yaani wamekuja kuburudika
 
Mmmh!!! Hapa!

Kinyanambo 15:57 Today


Tumekagua barabara na kutatua kero za Wakulima wa miwa,ahadi za JK zimetimizwa 95%..
 
Anasema ni ccm pekeee ndiyo yenye uhalali wa kuongoza tanzania kwa sababu ni chama pendwa, ni chama chenye wabunge wengi bungeni, na katika uchaguzi wa serikali za mitaa ccm ilishinda kwa asilimia 89
 
CCM na TBC yao leo wamehamia Moro.
Nilichogundua ni kuwa Chadema ipo juu sana.
Hakuna cha maana kinachoongelewa zaidi ya Chadema.
Zaidi ya hapo wanaongelea historia, TANU, ASP na uchaguzi wa 2010 nk.
 
Yaani ni FULL matusi hapo uwanjani!! Kama kuna mwanao huko mrudishe nyumbani haraka.
 
Back
Top Bottom