Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Kazi ya Bunge maalum la katiba lina watu takribani 600 wamekaa Dodoma kufanya nini? Anauliza Wassira
 
Ndg kama kweli ccm imewekeza wa2 wake kila kona, leteni kura ya maoni ya uwepo wa muungano wa serikali 2 dhid ya serîkali 3. Ujionee uwekezaji wa ccm ulivyo dhoofka.

Haraka ya nini bwamdogo serekali ipo tayari kwa chochote wanacho taka wana nchi wake
 
Wassira anasema Lissu ni Jembe na anasem kuwa social media zilizosema kuwa haji, sasa amekuja.
 
Bunge limepewa mamlaka ya kuandika katiba iliyopendekezwa kwa wananchi
 
Wassira anaelezea kifungu namba 25 kuwa bunge la katiba limepewa uwezo wa kutunga katiba kwa kutumia rasimu iliyoletwa.Anasisitiza maoni ya wananchi hayajaachwa.
 
Hivyo anahoji maoni yapi ya wananchi yanayoopuuzwa ?
 
SW: nawaambia wale wote wa social media (JF) kwa kusema kuwa nimekacha mdahalo lakini ndo nipo sasa.
SW: katiba ina sura mbili
i) ya kisheria
ii) ya kisiasa na maridhiano.

SW: Je bunge la katiba lina kazi gani, na tumekutana dodoma kwa kazi gani?
SW: kwanza tulitengeneza kupitia sheria ya katiba mpya kupitia wanasheria wakitea AG,TL, MAHALU na wengineo.
 
Mkataba....Serikali mbili ama tatu.....wahudhuriaji wanasema tatuuuuuu.....kunatokea tafrani kidogo
 
Wassira apiga madongo social media(jf) mlisema haji haya andikeni tena amekuja.
 
MwanaGOMBE ameanza kuhororoja. Badala ya kuzungumza pointi linavibrate tu.
 
Muda wa wassira umemalizika ila kaonyesha kunga'nga'nia mic
 
Wassira: wananchi wanao wakilishwa na UKAWA ni wepi? Lipumba sasa ...
 
Back
Top Bottom