Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Wasirra anaongea. Wanasiasa wanasingizia wananchi kwa kufanya maoni yao kuwa ndio maoni ya wananchi

Tundu Lisu ni mwansheria mzuri alishiriki kutafasiri sheria.

Agenda ya BMK ni rasimu ya katiba. Maoni ya wanannchi yanayopuuzwa ni yapi? Watu wanazomea. Anasisitiza ZNZ walitaka mkataba.
 
Lissu:Bunge Maalumu halina mamlaka ya kubadilisha Maoni ya rasimu yaliyopendekezwa na tume kutoka kwa wananchi
 
Akizungumza katika mjadala unaorushwa na ITV na Radio One; Mh Wassira alikiri kuwa uwezo wa Tundu Lissu katika masuala ya kisheria ni mkubwa sana.

Namnukuu:
"............ndugu yangu tundu lissu ni mwanasheria, tena mzuri sana tu .........."; mwisho wa kunukuu.
 
Wasira tayari kajikanganya!sasa anakubaliana na takwimu za tume ya mabadiliko ya katiba ambayo awali alikua anazikataa.
 
Lipumba anasema hakuna malalamiko kwa wazanzibari waliopendekeza Serikali ya mkataba....kwa kuwa mambo Yao yatashughulikiwa na seeikali ya tatu
 
Mm nashangaa Chadema walivyozusha eti Wassira kakimbia mdahalo
 
Kweli Lipumba ni Prof. amedadavua kwa ufasaha maana ya muungano wa mkataba na serikali 3 kwa weledi mkubwa kuwa ni kitu kile kile ...
 
Kwa hoja za kitakwimu watanzania wangi waliunga mkono Serikali tatu
 
IL: anadadavua takwimu za tume kuhusu namna ya muundo wa muungano hasa suala la serikali 1, 2, 3 na wa mkataba ila anaupigia muundo wa muungano wa serikali 3.
 
Wassira anakaribishwa tena.....anaanza kusema profesa ni mchumi anajua kusoma
 
Back
Top Bottom