Buldoza
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 2,307
- 986
Hahahahahaa alijisahau.nakumbuka jamaa mmoja mwakilishi wa walemavu akiwa BMK aliwaambia Ukawa "kule Kalenga tumewapiga,na Chalinze tutawapiga"
Hahahahahaa alijisahau.nakumbuka jamaa mmoja mwakilishi wa walemavu akiwa BMK aliwaambia Ukawa "kule Kalenga tumewapiga,na Chalinze tutawapiga"
Well done Wassira...akina Lissu hata mahesabu hawajui.
at least sasa Wasira anaonekana
Mr Tyson yumo ndani ya mdahalo ....and he has managed to cut to size his two opponents; Prof Lipumba and Tundu Lissu.
tundu anaongea sana ila hajajibu swali la binti
Kusema kwamba ni mashehe ni maccm ni kosa?
Mtu yeyote anayeshabikia CCM atakuwa na undugu na mafisadi,Go go go wasira.