Eberi M. Manya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 743
- 280
- Thread starter
- #561
CCM chama cha MAHAFIDHINA ndio wanaotaka kuwazuia watanzania wasipate Katiba mpya.
Lissu ni mwepesi sana katka kujibu hoja za wananchi
Mbona kama unaunga mkono hoja ya LISSU kwamba wameongeza kanuni baada ya wao kuondokaKanuni inayohusu kuingiza kanuni mpya katika bunge eti iliondolewa wakati hawakuwapo! muongo mkubwa na kwa nini walitoka bungeni? kama walijua haya yangetokea!?