Cloud Computing
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 334
- 85
Tundu Mburula anadai walio wengi ambao wanawajumbe zaidi ya 201 eti ndio wanaozuia! jamaa jinga sana.
Bange unazovuta mchana wa jua kali zinasumbua
Tundu Mburula anadai walio wengi ambao wanawajumbe zaidi ya 201 eti ndio wanaozuia! jamaa jinga sana.
Lissu kachanganyikiwa. Anasema kuwa maaskofu na masheikh ni watu wa ccm. Sijui ukawa ni wa naniTundu acha kujichanganya, kuboresha maoni ya watanzania ndio nini? Unapingaje kuwa serikali mapendekezo ya serikali mbili si maboresho?
hujui hata kuandika au umekurupuka kutoka chooni
akijaribu tundu lissu atamvunja meno yote
Ndugu wanabodi,
Msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na ITV. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole.
Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo.
Naomba tufuatilie mdahalo huu kwani itatoa mwelekeo mzuri wa mwenendo wa Rasimu ya katiba ambayo sasa ipo njiapanda. Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.
KARIBUNI
Tundu lisu anasema hadi wawakilishi wa dini ni wale wale wametumwa na ccm
Lissu ameshindwa kusema kama kipengele kinacho ruhusu bunge la katiba kurekebisha na kuondoa,kuongeza chochote kwenye Rasimu.Lissu analalamika kuwa zimebadilishwa kanuni baada ya wao kutoka. Yaani hadi anatia huruma
ni ukweli ambao ni wachache wanaoweza kudhubutu kuusema hadharani.Wajumbe wasiokuwa wanasiasa wao wengi sisi ndo tuliopendekeza hilo na hao 201 wajumbe 161 ni wa CCm -Lissu.
Kanuni zilizochakachuliwa,ni facts TL anamwaga kwa kuongea na audiance
Tundu lisu anasema hadi wawakilishi wa dini ni wale wale wametumwa na ccm
Tundu ana kifafa hawezi kupigana na Mh wasira.