Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

CCM wanazuia katiba mpya,ametoa facts,rejea kauli ya Kinana,Werema na waraka wa siri-Tundu lisu

kwani tundu hawaamini wananchi?.wananchi ndo itafika zamu ya kuikubali ama kuikataa.kwanini wana pre empt mchakato?
 
ndio mnajidanganya hivyo?
Katika serikali hii hii ya CCM, ambayo hata mimi najua kabisa imetusababishia hali ngumu wananchi tuliowengi, bado kuna baadhi ya wizara hazipewi fedha ipasavyo kutoka hazina; na ukijua sababu nini, utasikitika sana. So, binafsi napenda serikali tatu, lakini iwe na namna bora zaidi ya mapato yake, lakini si hii ya kuchangiwa na nchi washirika ambazo zitakuwa tayari zinafikiria zaidi namna ya kutoa huduma za kijamii kwa wananchi wake.
 
Lissu amesema uongo mwingine kuwa masheikh na maaskofu wote ni wana CCM!
 
Kura atahesabu nani? Kabla hatujaenda huko lazima tuwetumekubaliana. Maana yangu ni kwamba ccm wataiba kura.
kwani tundu hawaamini wananchi?.wananchi ndo itafika zamu ya kuikubali ama kuikataa.kwanini wana pre empt mchakato?
 
kwani tundu hawaamini wananchi?.wananchi ndo itafika zamu ya kuikubali ama kuikataa.kwanini wana pre empt mchakato?

Tundu ni muongo hataki kuonekana ni kawadanganya wateja wake UPAWA.
 
Ndugu wanabodi,

Msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na ITV. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole.

Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo.

Naomba tufuatilie mdahalo huu kwani itatoa mwelekeo mzuri wa mwenendo wa Rasimu ya katiba ambayo sasa ipo njiapanda. Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.

KARIBUNI

Tangia mwaka 2011 una post 101 dio nini?

Join Date : 29th June 2011
Posts : 101
Rep Power : 481
Likes Received31
Likes Given0
 
Back
Top Bottom