ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,864
Katibu wa ccm ,waziri walisema hawana haja ya katiba mpya hao ndo hawataki katiba mpya-Lissu
Wassira , Rasimu ilitokea na neno Rasmi .......aibu gani hii
Kama kwa uhuni huu wa akina Lissu, hakuna haja ya katiba mpyaKatibu wa ccm ,waziri walisema hawana haja ya katiba mpya hao ndo hawataki katiba mpya-Lissu
Wassira hajashindwa swali hata moja nasubiri Lissu aseme ni kipengele gani kimeondolewa kwenye kanuni?
Ha ha ha ha Labda alisingiziwa mkuu kwa sababu ana undugu na PRAIMU MINISTA.kule rukwa kuna mchawi alipigwa mawe, je na yeye ni mti wenye matunda bora