Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Very good question mdau aliyeuliza, yani kuna mawaziri wapo SMT wa muungano na wasio wa muungano, na wale wa SMZ. Af wanakataa serikali 3, usanii wa hali ya juu
 
Wassira ,kaulizia swali gumu sana kuwa mbona kuna Mawaziri wa serikali tatu , yaani wa Muungano, Zanzibar na wale wanaoitwa wa Tanzania Bara aka Tanganyika
 
Nafikiri unataka kujinyea kwa nondo za gwiji la sheria Tanzania...Mh. Lissu
mkuu Lissu ni muongo ana jaribu kuifananisha Marekani na Tanazania ....... Lissu ni gwiji wa uongo kabisa na amedanganya kuwa sheria zilibadilishwa
 
Yaani katika mawaziri wote huyu Wassira ndio kaonekana anafaa kuitetea serikali na msimamo wake? Au ilitumika kigezo gani kumualika?
 
mkuu Lissu ni muongo ana jaribu kuifananisha Marekani na Tanazania ....... Lissu ni gwiji wa uongo kabisa na amedanganya kuwa sheria zilibadilishwa

Anayependa kumfuata LISU naye atakuwa muongo kabisa tundu ni chizi.
 
Ahsante MWL. WA SHEKLANGO kwamba kwa nini msimalize ngwe hii alafu muanze maandamano yenu hatua ya kura za maoni?
 
Back
Top Bottom