Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Ndo maana ya kugalagazwa? Hebu tupe na majibu ya Lissu na Prof. Lipumba
Tundu anadanganya! eti wao walitoka bungeni na kanuni zikabadilishwa! nani aliwaambia watoke? anarudiarudia historia isiyojitosheleza! mara ya kisanga mara nyalali na wote walipata si zaidi ya maoni ya watu 5. jamaa muongo sana yuko bize na mambo ya Aboud Jumbe tu! hana jipya.